Mzee wangu kwanza hongera kwa kufikisha umri huo. Pili acha nikupe kongole kwa busara zako katika mada husika. Tatu umenifanya nianze kukufuatilia humu jf (si kwa ubaya, kwa lengo la kujifunza zaidi kutoka kwako).Mzazi aliyetunza usichana wake hadi kuolewa ATAHAKIKISHA ANAMLEA MWANAE KATIKA MISINGI HIYO, na wale walioikaribisha zinaa kabla ya ndoa wengi hata watoto wao huenenda hivyo. Na ndio maana nikasema kuna baraka na laana zitakazoambatana nao.
Wenye bikira wapo japo wasio nayo ni wengi zaidi HASA WASOMI
Mimi ni mzee naingia miaka 60 October . Nimeona mengi katika familia na ndoa za watu. Ukioa mwanamke ambaye alishaharibu USICHANA wake ni kama umeoa laana. Lakini ukioa mwanamke aliyejitunza usichana wake tangu kuzaliwa ni kama UMEOA BARAKA.
Nina mengi ya kuwaeleza katika hili lakini itoshe tu kujua hayo.
Ndoa zote zenye migogoro ukifuatilia background ya mwanamke utaona alishatumika kabla ya kupata wa kumuoa. Na wengi ibillisi huweka makazi kwao.
Tabia njema na uaminifu wa mtu hujengeka moyoni mwake, nafsini mwake na maishani mwake kadri anavyolelewa vema. Haiko kwenye uke uliotunzwa.Mimi ni mzee naingia miaka 60 October . Nimeona mengi katika familia na ndoa za watu. Ukioa mwanamke ambaye alishaharibu USICHANA wake ni kama umeoa laana. Lakini ukioa mwanamke aliyejitunza usichana wake tangu kuzaliwa ni kama UMEOA BARAKA.
Nina mengi ya kuwaeleza katika hili lakini itoshe tu kujua hayo.
Ndoa zote zenye migogoro ukifuatilia background ya mwanamke utaona alishatumika kabla ya kupata wa kumuoa. Na wengi ibillisi huweka makazi kwao.
Watumishi wa mchogoUko sawa sana, Spirit zinazo mfata mtu baada ya kulala na watu tofauti ni kubwa sana, kila roho ya mtu ambaye amelala na mwingine humuandama maishani mpaka awe na akili ya kuziondoa hizo roho, nje na hivyo roho hizo humsababishia laana, mikosi na majanga tofauti tofauti mengi tu, lakini mwanamke ambaye hajalala na watu hovyo hovyo,watu tofauti tofauti, maana yake hana hizo roho zinazo mfatilia labda ziwe za kutupiwa na watu wabaya.. lakini pia unaweza kumuoa huyo na baadae akaanza kuchepuka na watu wengine kulingana na maisha yanaendaje, ikiwa hivyo pia bado hayo majanga hayataondoka nyumbani mwa mtu huyo.
Utakuwa hujafika mikoa ya pwani, vibinti tele Vimeolewq vikiwa bikra vikazalishwa na vikaachwa.Mimi ni mzee naingia miaka 60 October . Nimeona mengi katika familia na ndoa za watu. Ukioa mwanamke ambaye alishaharibu USICHANA wake ni kama umeoa laana. Lakini ukioa mwanamke aliyejitunza usichana wake tangu kuzaliwa ni kama UMEOA BARAKA.
Nina mengi ya kuwaeleza katika hili lakini itoshe tu kujua hayo.
Ndoa zote zenye migogoro ukifuatilia background ya mwanamke utaona alishatumika kabla ya kupata wa kumuoa. Na wengi ibillisi huweka makazi kwao.
Umenena vemaThamani ya mwanamke siyo chenza bali thamani ya mwanamke jinsi mwenyewe alivyo ,wengi wameolewa wakiwa na machenza lakini ndoa zao walishindwa kuzitunza ila wengine wameolewa wakiwa na machungwa na mpaka sasa ndoa zao wamezitunza.
Wewe mwenyewe ulikuwa bikira ulipooa?Mimi ni mzee naingia miaka 60 October . Nimeona mengi katika familia na ndoa za watu. Ukioa mwanamke ambaye alishaharibu USICHANA wake ni kama umeoa laana. Lakini ukioa mwanamke aliyejitunza usichana wake tangu kuzaliwa ni kama UMEOA BARAKA.
Nina mengi ya kuwaeleza katika hili lakini itoshe tu kujua hayo.
Ndoa zote zenye migogoro ukifuatilia background ya mwanamke utaona alishatumika kabla ya kupata wa kumuoa. Na wengi ibillisi huweka makazi kwao.
Sema kimeumanaaaaa....Bikra za siku izi azitoi damu zinatoa povu.
Uko sahihi kabisaThamani ya mwanamke siyo chenza bali thamani ya mwanamke jinsi mwenyewe alivyo ,wengi wameolewa wakiwa na machenza lakini ndoa zao walishindwa kuzitunza ila wengine wameolewa wakiwa na machungwa na mpaka sasa ndoa zao wamezitunza.
Nimekaa na mabinti wengi hapa kwangu, wengi wameolewaChangamoto ni kumpata mwanamke alie katika umri wa kuolewa na ni bikra
Uko sahihi hasa hao wenye bikra wakitambua thamani yake. Nimekaa na ma binti wa kazi wengi wao wameolewa, na wasasa nae kapata mchumba ameshanitaarifu niweze mtafuta mwingine. Alifika tu baada ya kumaliza la saba, kapata mchumba anatoa mahari.Mimi ni mzee naingia miaka 60 October . Nimeona mengi katika familia na ndoa za watu. Ukioa mwanamke ambaye alishaharibu USICHANA wake ni kama umeoa laana. Lakini ukioa mwanamke aliyejitunza usichana wake tangu kuzaliwa ni kama UMEOA BARAKA.
Nina mengi ya kuwaeleza katika hili lakini itoshe tu kujua hayo.
Ndoa zote zenye migogoro ukifuatilia background ya mwanamke utaona alishatumika kabla ya kupata wa kumuoa. Na wengi ibillisi huweka makazi kwao.
Bikra sio kigezo aisee wapo watu wameoa bikra na wanalia.
Kiufupi hakuna fomula japo vipo viashiria vya mke mwema ila kwa mazingira ya sasa bikra sio kigezo kikuu maana hata kuipata tu ni mtihani na wapo waliozipoteza ila ni kwa sababu ya ubinafsi wa wanaume.
Ukiangalia chanzo cha ugomvi wao si swala la uaminifu kwa upande wa mkeBikra sio kigezo aisee wapo watu wameoa bikra na wanalia.
Kiufupi hakuna fomula japo vipo viashiria vya mke mwema ila kwa mazingira ya sasa bikra sio kigezo kikuu maana hata kuipata tu ni mtihani na wapo waliozipoteza ila ni kwa sababu ya ubinafsi wa wanaume.
Mkuu Wacha hii pasaka ipite Na Ramadhan yake.Mimi ni mzee naingia miaka 60 October . Nimeona mengi katika familia na ndoa za watu. Ukioa mwanamke ambaye alishaharibu USICHANA wake ni kama umeoa laana. Lakini ukioa mwanamke aliyejitunza usichana wake tangu kuzaliwa ni kama UMEOA BARAKA.
Nina mengi ya kuwaeleza katika hili lakini itoshe tu kujua hayo.
Ndoa zote zenye migogoro ukifuatilia background ya mwanamke utaona alishatumika kabla ya kupata wa kumuoa. Na wengi ibillisi huweka makazi kwao.
Hiyo yote ni kwasababu ya jamii kupuuzia bikra na kutoitilia maanani,mbona zamani ilikuwa ni kawaida kukuta mdada mkubwa tu anayo?Ebo Hata watoto wa la saba tu hawana bikira sembuse hayo maguberi kitaani
Umeandika kwa HASIRA SANAHakuna kanuni,nilioa bikra,akaja kutombwa na idd kisa rifti ya gari,tangu hapo ndo nikagundua talent yake kuwa ni malaya haswa,labda ungetushauri tusioe wanawake wenye mashepu kama yale walioahidiwa ndugu zetu katika imani,maana kutombewa mwanamke mwenye shepu ni sawa na mwanamme wa kimasai kutahiliwa.