Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 13,393
- 31,258
Na ndio umejua sasa.Mimi huyu The Afro Ghost Kelsea nijue kitu kama hicho? no, not ghost, apologize!
Na ndio umejua sasa.Mimi huyu The Afro Ghost Kelsea nijue kitu kama hicho? no, not ghost, apologize!
eh haya bwana!Na ndio umejua sasa.
Wasalaam,
Kama kijana ukipata binti anajielewa muoe haraka maana ukimtosa utakuja kujuta baadae.
Kwa upande wangu alikuwepo binti alinielewa sana ila mimi nikaona mimi ndio mimi, nikaona nile ujana kwa kuendelea kubadili wasichana.
Leo yule msichana namkumbuka sana, maana alishakufa na mpaka leo nahangaika na makurumbembe. Sijui kama nitapata wa kuziba lile pengo.
Ina maana ungemuoa leo hii ungekuwa Mgane..
double clickWasalaam,
Kama kijana ukipata binti anajielewa muoe haraka maana ukimtosa utakuja kujuta baadae.
Kwa upande wangu alikuwepo binti alinielewa sana ila mimi nikaona mimi ndio mimi, nikaona nile ujana kwa kuendelea kubadili wasichana.
Leo yule msichana namkumbuka sana, maana alishakufa na mpaka leo nahangaika na makurumbembe. Sijui kama nitapata wa kuziba lile pengo.