chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,695
- 4,947
Huu umekuwa ni ujumbe mzito uliotolewa na Mwendesha semina kwa vijana, kwenye semina ya Pasaka ya Viwawa. Semina hiyo iliyoanza asubihi mpaka muda huu bado inaendele ktk Parokia ya Mt. Ambros Taghaste(Mbezi kibanda cha Mkaa).
Mada kuu zilikuwa ni Katiba Mpya(Kura ya hapana),
Kujiandikisha kupiga kura
na;
Zawadi ya Uhai na kuutunza(
Kupinga utoaji mimba na Artificial Family planning)
Mtoa mada ni Pr Kulwa ambaye pia ni mwalimu wa seminari.
My Take: Hamasa ni kubwa juu ya kura ya hapana kwa vijana
Mada kuu zilikuwa ni Katiba Mpya(Kura ya hapana),
Kujiandikisha kupiga kura
na;
Zawadi ya Uhai na kuutunza(
Kupinga utoaji mimba na Artificial Family planning)
Mtoa mada ni Pr Kulwa ambaye pia ni mwalimu wa seminari.
My Take: Hamasa ni kubwa juu ya kura ya hapana kwa vijana