Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Pleasepast

JF-Expert Member
May 30, 2023
325
454
Wajita tabia zao unakuta mama kalea watoto wake yeye mwenyewe lakini unakuta mume alipoteza maisha na sio kwamba anapoteza kwa muda sahihi, ila anapotezwa.

Yaani wanawake wa kijita wako pamoja na mama zao yaani unakuta mama mmoja ana watoto watano kila mtoto na baba yake na familia zao kitendo cha kumuozesha binti mmoja kwa wanaume watatu tofauti ni jambo la kawaida kwao na hata akiwa ndani ya ndoa hataki kurekebishwa kwa jambo lolote na mumewe.

Yaani akirekebishwa tu ni chap anauza vyombo vyote ndani anaenda kwao na wazazi wanampokea kwa bashasha na ukoo mzima sio makaka wala madada zake.

Kwa kifupi vijana kueni makini sana na wanawake wa kijita, yaani siri zote utazofanya chumbani na mwanamke wa kijita zote anazipeleka kwenye jopo la ndugu zake, kwa kifupi unakuwa ni kama upo uchi mbele yao.

Naomba vijana muwe makini sana na ukishazaa nae tu ndio utakoma wanakatalia mtoto halafu ukoo mzima wanakukomalia uhudumie mtoto na pesa utume kwa mama mkwe na wao ndio wanawake wanaoongoza kwenda kwenye dawati la jinsia

Naomba kuwasilisha, vijana kuweni makini sana, akisema ni mjita kimbia speed 500 usigeuke.
 
Wajita tabia zao unakuta Mama kalea watoto wake yeye mwenyewe lakini unakuta mume alipoteza maisha na sio kwamba anapoteza kwa muda sahihi ila anapotezwa yani wanawake wa kijita wako pamoja na mama zao yani unakuta mama mmoja ana watoto watano kila mtoto na baba yake na familia zao kitendo cha kumuozesha binti mmoja kwa wanaume watatu tofauti ni jambo la kawaida kwao na ata akiwa ndani ya ndoa hataki kurekebishwa kwa jambo lolote na mumewe yani akirekebishwa tu ni chap anauza vyombo vyote ndani anaenda kwao na wazazi wanampokea kwa bashadha na ukoo mzima sio makaka wala madada zake kwakifupi vijana kueni makini sana na wanawake wa kijita yani siri zote utazofanya chumbani na mwanamke wa kijita zote anazipeleka kwenye jopo la ndugu zake kwakifupi unakua ni kama upo uchi mbele yao naomba vijana muwe makini sana na ukisha zaa nae tu ndio utakoma wanakatalia mtoto alafu ukoo mzima wanakukomalia uhudumie mtoto na pesa utume kwa mama mkwe na wao ndio wanawake wanao ongoza kwenda kwenye dawati la jinsia

Naomba kuwasilisha vijana kuweni makini sana akisema ni mjita kimbia speed 500 usigeuke
Pole sana.

.........Ndio Dunia ilivyo
 
Wajita tabia zao unakuta Mama kalea watoto wake yeye mwenyewe lakini unakuta mume alipoteza maisha na sio kwamba anapoteza kwa muda sahihi ila anapotezwa yani wanawake wa kijita wako pamoja na mama zao yani unakuta mama mmoja ana watoto watano kila mtoto na baba yake na familia zao kitendo cha kumuozesha binti mmoja kwa wanaume watatu tofauti ni jambo la kawaida kwao na ata akiwa ndani ya ndoa hataki kurekebishwa kwa jambo lolote na mumewe yani akirekebishwa tu ni chap anauza vyombo vyote ndani anaenda kwao na wazazi wanampokea kwa bashadha na ukoo mzima sio makaka wala madada zake kwakifupi vijana kueni makini sana na wanawake wa kijita yani siri zote utazofanya chumbani na mwanamke wa kijita zote anazipeleka kwenye jopo la ndugu zake kwakifupi unakua ni kama upo uchi mbele yao naomba vijana muwe makini sana na ukisha zaa nae tu ndio utakoma wanakatalia mtoto alafu ukoo mzima wanakukomalia uhudumie mtoto na pesa utume kwa mama mkwe na wao ndio wanawake wanao ongoza kwenda kwenye dawati la jinsia

Naomba kuwasilisha vijana kuweni makini sana akisema ni mjita kimbia speed 500 usigeuke
da!!!!! ata WAPANGWA wako hivihivi,,,,,yaani kila ulichoandika kinaendana 100% na WAPANGWA,,,alaf wanaroga mpaka vyuma!!!
 
Wajita tabia zao unakuta Mama kalea watoto wake yeye mwenyewe lakini unakuta mume alipoteza maisha na sio kwamba anapoteza kwa muda sahihi ila anapotezwa yani wanawake wa kijita wako pamoja na mama zao yani unakuta mama mmoja ana watoto watano kila mtoto na baba yake na familia zao kitendo cha kumuozesha binti mmoja kwa wanaume watatu tofauti ni jambo la kawaida kwao na ata akiwa ndani ya ndoa hataki kurekebishwa kwa jambo lolote na mumewe yani akirekebishwa tu ni chap anauza vyombo vyote ndani anaenda kwao na wazazi wanampokea kwa bashadha na ukoo mzima sio makaka wala madada zake kwakifupi vijana kueni makini sana na wanawake wa kijita yani siri zote utazofanya chumbani na mwanamke wa kijita zote anazipeleka kwenye jopo la ndugu zake kwakifupi unakua ni kama upo uchi mbele yao naomba vijana muwe makini sana na ukisha zaa nae tu ndio utakoma wanakatalia mtoto alafu ukoo mzima wanakukomalia uhudumie mtoto na pesa utume kwa mama mkwe na wao ndio wanawake wanao ongoza kwenda kwenye dawati la jinsia

Naomba kuwasilisha vijana kuweni makini sana akisema ni mjita kimbia speed 500 usigeuke
Duuh hatari!
 
Back
Top Bottom