kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
Taarifa zilizotolewa kwenye vyombo mbali mbali vya habari hivi punde zimeonyesha kuwa mabinti wengi kati ya miaka 18-35 wanachekelea kuliwa Tigo. Sababu za kuliwa Tigo zimeelezwa kama ifuatavyo:
Ushauri: Vijana wetu mchezo huo ni haramu na mungu haupendi kabisa. Pia, unamadhara makubwa kiafya. Wana JF tuwaelimishe vijana wetu wasielekee kwenye upotevu huu mkubwa kabisa.
- Kujikinga na mimba
- Kulinda bikra
- Kuiga mambo ya kwenye mtandao
- Kama sehemu ya kujiongezea kipato
Ushauri: Vijana wetu mchezo huo ni haramu na mungu haupendi kabisa. Pia, unamadhara makubwa kiafya. Wana JF tuwaelimishe vijana wetu wasielekee kwenye upotevu huu mkubwa kabisa.