Chabruma
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 5,660
- 1,777
Oh... Walishikwa huko kusini MTWARA sasa kuna MWANZA ina Maana they are all over TANZANIA???
wanatekeleza maelekezo ya CUF na Lipumba ya kuwataka vijana wafanye mazoezi ya kujilinda
Oh... Walishikwa huko kusini MTWARA sasa kuna MWANZA ina Maana they are all over TANZANIA???
Oh... Walishikwa huko kusini MTWARA sasa kuna MWANZA ina Maana they are all over TANZANIA???
Mleta mada kweli we ni mburula wa sheria..hvi kwa confidance zote unadiliki kutuaminisha kua akuna sheria inayozuia mtu kumiliki mapanga wala kumiliki mikanda ya mauaji..kama sheria zingekua zinatafsiriwa kwa style yko hyo nna hakika watu wangekua wanakufa kila siku,usiipeleke sheria kma unavoisoma ndugu tatizo ilo ndo linamfnya wazir magufuri pia aonekane waajabu pia kukalili kalili..
Nadhani sasa hutu tumuvi twangu twa Rambo na Shoziniga inabidi nitufiche mbali...nisijekamatwa na mimi bure...
Inanishangaza MODS kuhamisha HII HABARI na kuifanya ni ya MCHANGANYIKO; kweli hii sio HABARI ya KISIASA? Ukiangalia ni kwanini Al Shaabab walishambulia Kenya ni POLITICAL REASON
Kusambaa Nchini Tanganyika sasa wapo MTWARA kwa Training wengine ndio ndio wamemshika na CD MWANZA na wakati fulani walikuwa wanaongelea Mafunzo huko UKEREWE...
Kweli sio POLITICAL ISSUE? ni habari MCHANGANYIKO sio ya kuichukulia UMAANA???
Kweli badi hatujui SIASA; Siasa sio Mpaka Tuongelee CCM; CHADEMA; CUF; NCCR Jamani
inshaallah khilafa itasimama na hukmullah itasimama kwa ak-47 tuuDamu na maisha ya Waislamu siku hizi yamekuwa cheap sana! yoyote yule anayejihisi kumuua, kumfunga au kumtusi Muislamu anafanya tu. ...yana mwisho haya!
Kweli unaamini huo ni ugaidi? Nyie watu waajabu sana kina Kileo, Lwakatare, wakiitwa magaidi mnalalamika.Hii nchi tusipokuwa makini itakuwa nchi ya magaidi. It is unfortunate the president is busy with external trips, huku magaidi wapo busy na routine za ndani