Vigogo wa CHADEMA wahamia CCM - Morogoro


MAKAMANDA tuko mtari wa mbele tunapambana.....
warudi nyumbani WAKAGAWE VITENTENGE NA KANGA ...NA ...watuandalie nyimbo za kuwapokea MASHUJAAAAA 2015 !!!!
 
Hao walifikiri cdm ni maskani ya tembo ! Let them go! Cdm ,hawana nia njema na wananchi, they want to be granted some vac, in the gov, behind the closed door!
 
Hakika harakati za CHADEMA zitabebwa na vijana wa kizazi kipya wenye damu ya mabadiliko, historia inaonyesha wazi kuwa wasaliti waliweza kuchelewesha tu ukombozi lakini kamwe hawakuwahi kuzuia ukombozi.
Makamanda tusonge mbele.
 
Ikitokea watu wote wakajua ,uozo,udini,ukanda na ukabila uliopo ndani ya chadema sijui itakuaje?subiri tuone.
 
nisichokijua ni kiasi gani ccm wametenga kufanya kazi hii ambayo lengu lake kubwa ni kuchelewesha ukombozi wa mnyonge wa Tanzania

Mkuu
Haijalishi wametenga kiasi gani, wanakwapua kiasi gani ilikuwahonga baadhi ya wanachama njaa wakitaraji kubomoa upinzani.

Mabadiliko yanapokuja hayanasimile wala njia, yanatokea automatically na daima hakuna awezaye kupingana na mahitajio ya wakati.

haijalishi wanarubuniwa au la, mabadiliko kutokea ni lazima ndiyo historia inavotueleza na kutufundisha, kwamba kila baada ya vizazi kadhaa lazima pawe na mabadiliko.

Wanaorudi CCM na warudi maana ndiyo demokrasia na wanao toka ccm na watoke lakini ccm mwisho wa siku itasalim amli kama anavotufundisha mwalimu HISTORIA
 
CHADEMA ni wachuuzi wa maneno wakati CCM ni watekelezaji wa mipango ymendleo itokanayo na maamuzi mkini kwa manufaa ya umma. Kila mwenye pumzi na aseme CCM juu...Juu...juu....juu zaidi! Mtatukana mpaka midomo imegeke! Nasi twasema, Amina..
 
Ikitokea watu wote wakajua ,uozo,udini,ukanda na ukabila uliopo ndani ya chadema sijui itakuaje?subiri tuone.
Hii Sera ya ubaguzi aliianzisha KIkwete juzi baada ya uamsho na makanisa mbagala kuchomwa akakauka midomo sijue afanye nini,kama unataka kuendeleza huu ujinga wa CCM muulize Kikwete alifanyanje si alikimbia nchi hapa karudi uamsho wako ndani,baadhi ya maeneo ya nchi anatembea kwa kunyata musijipalie mkaa kimbunga cha ubaguzi hamtakiweza viwavi nyie
 
Wote watakuwa mwili mmoja pamoja na Baba. Wakati wenu ukiwadiia mtarudi kwa baba naye atawapokea kwa mikono miwili na kuwafanyia sherehe. KARIBUNI CCM nafasi ingalipo tele......!
 
Hii Sera ya ubaguzi aliianzisha KIkwete juzi baada ya uamsho na makanisa mbagala kuchomwa akakauka midomo sijue afanye nini,kama unataka kuendeleza huu ujinga wa CCM muulize Kikwete alifanyanje si alikimbia nchi hapa karudi uamsho wako ndani,baadhi ya maeneo ya nchi anatembea kwa kunyata musijipalie mkaa kimbunga cha ubaguzi hamtakiweza viwavi nyie
Na kwa ngugu zote na zote
 
Ikitokea watu wote wakajua ,uozo,udini,ukanda na ukabila uliopo ndani ya chadema sijui itakuaje?subiri tuone.


mkuu Meli, Haitatokea kwa sababu ukweli hutofautiana na dhana ya kufikirika sana.

Ni kawaida au rahisi sana kuota ndoto ukiruka angani kama njiwa ukitumia mikono tu, lakini ukiamka asubuhi upo kitandan pale pale, Ni rahisi sana kuandika na kuelezea watu vitu vya kusadikika ambavyo kiuhalisia havipo.

Kizazi cha leo sio kile cha zidumu fikra za mwenyekiti wa ccm wengine bila kuhoji wala kujiuliza kama ni fikra sahihi kweli na zina tija au hapana - wote waliitikia zidumuuuuu (hatakama zilikuwa pumba ilikuwa lazima uitike na utii, leo hii thubutu nani anafanya hivo?) Dunia inabadilika, mataifa yanabadilika tanzania inabadilika, jamii inabadilika na mtu mmojammoja wanabadilika wanaelewa na wanatafakali nisuala la wakati tu.

Wale waondhani kuutaja tu ukabila na udini ni kuwachafua chadema ni kujidanganya. Tunahitaji siasa safi, yakweli na yenyetija kwa kuwaunganisha watanzania kama taifa na kuwaongoza katika mafanikio ya mtu mmojammoja, jamii na taifa kama watazania.
siasa za majitaka, porojo na propaganda zimepitwa na wakati
 
Wote watakuwa mwili mmoja pamoja na Baba. Wakati wenu ukiwadiia mtarudi kwa baba naye atawapokea kwa mikono miwili na kuwafanyia sherehe. KARIBUNI CCM nafasi ingalipo tele......!
Makorokotwa aliyoyasema Mkapa ndio yanarudi CCM nani mwenye akili timamu atarudi kwenye chama Cha Baba Mama na Watoto,KIkwete anapitisha familia yake bila kupingwa kuingia NEC na MaCCM yanakaa kupiga makofi kwa kutegemea yatagawiwa vipande vya ardhi Dubai ha ha
 
mkuu Meli, Haitatokea kwa sababu ukweli hutofautiana na dhana ya kufikirika sana.

Ni kawaida au rahisi sana kuota ndoto ukiruka angani kama njiwa ukitumia mikono tu, lakini ukiamka asubuhi upo kitandan pale pale, Ni rahisi sana kuandika na kuelezea watu vitu vya kusadikika ambavyo kiuhalisia havipo.

Kizazi cha leo sio kile cha zidumu fikra za mwenyekiti wa ccm wengine bila kuhoji wala kujiuliza kama ni fikra sahihi kweli na zina tija au hapana - wote waliitikia zidumuuuuu (hatakama zilikuwa pumba ilikuwa lazima uitike na utii, leo hii thubutu nani anafanya hivo?) Dunia inabadilika, mataifa yanabadilika tanzania inabadilika, jamii inabadilika na mtu mmojammoja wanabadilika wanaelewa na wanatafakali nisuala la wakati tu.

Wale waondhani kuutaja tu ukabila na udini ni kuwachafua chadema ni kujidanganya. Tunahitaji siasa safi, yakweli na yenyetija kwa kuwaunganisha watanzania kama taifa na kuwaongoza katika mafanikio ya mtu mmojammoja, jamii na taifa kama watazania.
siasa za majitaka, porojo na propaganda zimepitwa na wakati

Tunakwambia Mwenzio KIkwete kajifunza adabu Miezi zaidi ya sita kwenye kampeni za 2010 yeye alikuwa na udini,ukabila,Baada ya kupachikwa uraisi akakazana maneno yeleyale juzi kakimbia nchi hapa karudi kumetulia na wewe tunakwambia yatakutokea puani ujinga kugawa nchi kwa makundi kwa sababu ya kubaki madarakani puu
 
Bila kuwa na vyama thabiti vya upinzani haijalishi ni CDM, CUF, NCCR nk hatutakuwa na maendeleo ya kweli hususani kwa nchi kama Tanzania.

Tanzania imepotea njia za utawara bora, imekuwa ya makundi na familia, imekuwa ya wenye uwezo na kubaguwana.

1. Watoto wa wenye nazo (fedha) husoma english medium na international school wa maskini wao kwao ni shule za kata hakuna elimu bora cha ajabu mtihani wanafanya mmoja yule wa English medium na yule wa kata ambaye kimsingi hakufundishwa matokeo yake wakata wanafeli na kubaki kuzagaa mitaani (Tabaka la Maskini wa kutupwa)

2. Linapofika suala la matibabu (Afya) kwa sasa ni kawaida kabisa wale wote walionauwezo matibabu yao ni India na wale wa daraja la maskini wanaachwa kutibiwa kwa madawa feki na kuteketea (Tabaka la walalahoi hatuna pa kukimbilia utafikaje India unafedha.....?

3. Kwa wale tuliomaofisini hata mitaani mnaona makato ya kodi yapo juu kupita kiasi - tunakatwa mafisadi na familia zao wafaidi

Hivyo ni kwa kuwa na upinzani wa kweli tukapata uwakilishi wa uwiano bora bungeni ndipo hoja za msingi, zenye tija kwa maendeleo ya taifa na watanzania zitakapojadiliwa bungeni. Kwa sasa chama kimoja kinadhibiti bunge na maamuzi yake yapo kichama zaidi na si kitaifa. Lakini tukiwa na uwiano bora, maslahi ya Taifa yataanza na ya chama yatafuata.

Wanaodhani ccm ni bora haki yao waende, wanaodhani NCCR ni bora au Cuf ni haki pia. Lakini la kujiuliza nini kipya kimefanyika ccm cha kuwashawishi kukurupuka na kusema ccm ni bora??? kwa mtazamo wangu hao ni wachumia tumbo.
 
CHADEMA ni wachuuzi wa maneno wakati CCM ni watekelezaji wa mipango ymendleo itokanayo na maamuzi mkini kwa manufaa ya umma. Kila mwenye pumzi na aseme CCM juu...Juu...juu....juu zaidi! Mtatukana mpaka midomo imegeke! Nasi twasema, Amina..

Labda hizo hadithi kawasimulie misukule sio sisi utekelezaji wa mipango ipi munazunguka nchi nzima munazomewa weee,hamandai mkutano wowote bila bajeti ya wasanii na wajumbe kwisheny nyie majitu muliokosa uzalendo CCM ilikuwa enzi za mwalimu bwana
 
Tunakwambia Mwenzio KIkwete kajifunza adabu Miezi zaidi ya sita kwenye kampeni za 2010 yeye alikuwa na udini,ukabila,Baada ya kupachikwa uraisi akakazana maneno yeleyale juzi kakimbia nchi hapa karudi kumetulia na wewe tunakwambia yatakutokea puani ujinga kugawa nchi kwa makundi kwa sababu ya kubaki madarakani puu


Ni dhambi kubwa kubaguwa na kuwachonganisha watu kwa sera za Udini, ukabila na ukanda.

Bado wachache wapigadebe wanaamini kupitia propaganda hizi chafu wataisadia ccm.

Ukweli unabakia kwamba watanzania wa leo wanaufahamu ukweli na watahukum kwa maneno haya ya uwongo wa wapigadebe.

Waliiuwa Cufu kwa majambia feki

Waliiuwa NCCR kwa kupandikiza mashushu

Leo wanadhani wataisabaratisha CDM kupitia sera mfu ya UDIN, UKANDA na UKABILA nadhani hii imewashinda na sasa wanatapatapa.

YETU MACHO
 
Huu ni mwanzo tu kadili ya muda unavyosogea kuelekea 2015 cdm wengi tu watahama kwenda ccm... Pia tusijipe moyo kuwa hawakuwa chachu ya mabadiliko moro hawa viongozi lakini ukweli utabaki palepale ndio waliokuwa wanakifanya chama kiwe imara moro ..tuliopo huku tumeona.... Cdm hasa dr.slaa na wenzake wajitathimini upya kama mana hata juzi mkutano wa jimbo la kinondoni wajumbe wa cdm walikuwa wanatafutwa kwa simu hadi kikao kinakaribia kuanza watu hakuna...
 
Chadema ni chama lakini wanachama wanauhuru wa kwenda ccm wakiwa chadema mnawaita makamanda wawkiwakimbia baada ya kugundua uhayawani wenu mnawatukana
 
Back
Top Bottom