Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
kuna tofauti gani kati ya cafe na mghahawa?
Cafe inauza coffee na mgahawa unauza kahawa
kuna tofauti gani kati ya cafe na mghahawa?
ukifika round about ile barabara inayokuja kushoto maeneo hayoMkuu, ni kabla au baada ya round about wakati unaelekea mbagala, na upande gani wa barabara?
Mkuu naomba unieleweshe zaidi hapo swala la HisaMkuu nashauri uuze hisa ili wadau tuanze kuchoro ya maana na hatimaye uone malengo yako yatimie!! Najua waswahili wanalostisha sana, hawajui kuwa hiyo ni kazi kama kazi zingine!! So please, kama kuna wadau wanaoweza wauzie hisa ili kitu kiendelee...naimani kuna wadau watajitokeza!!
Mku ningeweza kufanya hivo na nishawapata wengi wa hivo ila kwa upande wangu mimi nahitaji pesa na ni muhimu na harakaNaomba nikushauri,,,kwanini usitafute mtu akakusimamia hiyo biashara,,,,mi nimtaalamu wa hayo mambo,,nipe chance nikufanyie kazi then tulipane..
Unaweza kuuza asilimia 40 ya mtaji wako kwa watu unaoona mtafanya hiyo kazi bila kuleteana shida. Hii inafaa kama uko registered kama mfanyabiashara na unajulikana kwenye soko la hisa la dsm which I don't think so. But, kwa kishikaji kishikaji, unawaambia hata jamaa zako unaoaminiana mnapanga hisa moja ina gharama kiasi gani then unawauzia baadhi na mnakubaliana wewe utakuwa nani, na kazi zako ni zipi. Hivyo hivyo na kwao ilimradi kile kinachopatikana mnagawana kulingana na share zenu kwenye hiyo biashara. Mwisho wa siku utajikuta mna mtaji wa kufungua mgahawa mwingine na mwingine na mwingine hatimaye jiji lote linakuwa lenu baadae mikoani. Hii inahitaji nidhamu ya hali juu kufika hapo!!Mkuu naomba unieleweshe zaidi hapo swala la Hisa
Mkuu kwa vifaa nauza jumla siuzi kimoja kimoja ila pia unaweza kuchukua vyote na fremunauza pia kimoja kimoja au ni jumlaa pekee?
Mkuu wateja waliopo hatujamaliza mazungumzo kutokana na sababu kadhaaUshpta mteja mkuu mm naitaka
PICHA ZA NJE YA FRAME YENYE CAFEUnaweza ukatuma na picha ya nje ya fremu? Maana kati ya Aziz Ally hadi kituo cha Mtongani pana fremu nyingi.
PICHA ZA NJE YA FRAME YENYE CAFEUnaweza ukatuma na picha ya nje ya fremu? Maana kati ya Aziz Ally hadi kituo cha Mtongani pana fremu nyingi.
nina mambo mengi nashindwa management ya cafe hiyo
nipe tofauti kati ya cafe na mgahawaUSISEME CAFE SEMA MGAHAWA.
nipe tofauti kati ya cafe na mgahawa
Cafe kwa kiswahili inaitwaje?CAFE- a small restaurant selling light meals and drinks
MGAHAWA- Kibanda/banda la kuuza chakula ( hii ndiyo lugha yetu)
hiyo Cafe kawambie wasomi wenzako.
Unaacha na wafanyakazi au unasepa naosiwezi kutoa kiasi ninachoingiza kwa siku maana kila mtu ana utaratibu wake pia siwezi kuuza kwa nusu hasara kwa sababu sijapauza kwa sababu nina shida sana ila napauza kwa sababu kulingana na mda wangu na shughuri nyingine nakosa mda wa kumanage hiyo sehemu mwishowe vitu vinauzika ila mauzo siyaoni. so naona ni bora ni base kwa kitu kimoja kwanza afu nikishajipanga vizuri kumiliki mambo mengi kwa wakati mmoja ntaweza kufungua tena
Cafe kwa kiswahili inaitwaje?
Mgahawa kwa kiingereza unaitwaje?