Vifaa vya cafe vinauzwa na frame yake inakodishwa pia

Bado iko sokoni, Bei tunaongea inapungua! ni check hapa

0653116399
 
Picha hazifunguki.. Sijui ni hichi kimeo changu
1464099032595.jpg
 
siwezi kutoa kiasi ninachoingiza kwa siku maana kila mtu ana utaratibu wake pia siwezi kuuza kwa nusu hasara kwa sababu sijapauza kwa sababu nina shida sana ila napauza kwa sababu kulingana na mda wangu na shughuri nyingine nakosa mda wa kumanage hiyo sehemu mwishowe vitu vinauzika ila mauzo siyaoni. so naona ni bora ni base kwa kitu kimoja kwanza afu nikishajipanga vizuri kumiliki mambo mengi kwa wakati mmoja ntaweza kufungua tena
Mie mbona unanipa wasiwasi sana jamani, yani ulianza hiyo biashara bila kujua uendeshaji wake..Ukikosa mteja kabsaa, Kama ni hivyo Nipe mimi nikusimamie kwa muda wa miezi 6 halafu unambie kila mwezi nikupe kiasi gani?, kodi ikiisha naendelea kulipia kodi mimi...na kukulipa gharama ya vyombo vyako...
 
Unaweza ukatuma na picha ya nje ya fremu? Maana kati ya Aziz Ally hadi kituo cha Mtongani pana fremu nyingi.
 
Mie mbona unanipa wasiwasi sana jamani, yani ulianza hiyo biashara bila kujua uendeshaji wake..Ukikosa mteja kabsaa, Kama ni hivyo Nipe mimi nikusimamie kwa muda wa miezi 6 halafu unambie kila mwezi nikupe kiasi gani?, kodi ikiisha naendelea kulipia kodi mimi...na kukulipa gharama ya vyombo vyako...
Asma njoo inbox tupange maisha best
 
Kwahiyo mkuu hicho kimeza na tv na hilo jagi ndio unauza mil 5
Mkuu kuwa mstaarabu basi, nafikiri ingekuwa vizuri zaid kama ungesoma maelezo yote bei nilizotaja,pia kama ungeona ni kubwa ungeniomba labda tupige maesabu ya kila kitu ili uwe na uhakika. ndo maana ya kutoa namba kwa mawasiliano zaidi.
 
Unaweza ukatuma na picha ya nje ya fremu? Maana kati ya Aziz Ally hadi kituo cha Mtongani pana fremu nyingi.
sawa mkuu ntakutumia nilikuwa nazo za ndani tu, naenda kupiga ntakutumia
 
Mie mbona unanipa wasiwasi sana jamani, yani ulianza hiyo biashara bila kujua uendeshaji wake..Ukikosa mteja kabsaa, Kama ni hivyo Nipe mimi nikusimamie kwa muda wa miezi 6 halafu unambie kila mwezi nikupe kiasi gani?, kodi ikiisha naendelea kulipia kodi mimi...na kukulipa gharama ya vyombo vyako...
Hapana mkuu kuna mambo yaliingiliana ila si kwamba kuna tatizo kuhusiana na ofisi yenyewe.
kuna mambo ya kikazi tofauti ya hii pamoja na masomo ndo maana naamua kuiachia.Pia kuhusu kukuachia uwe unanilipa kwa mwezi itakuwa ngumu kwa sababu hela zinahitajika kupelekwa sehemu flani nje ya mkoa na ni mambo ya kiofisi zaidi. tuwasiliane zaidi kama unahitaji kuchukua either vifaa tu au na fremu moja kwa moja. 0653116399
 
Hapana mkuu kuna mambo yaliingiliana ila si kwamba kuna tatizo kuhusiana na ofisi yenyewe.
kuna mambo ya kikazi tofauti ya hii pamoja na masomo ndo maana naamua kuiachia.Pia kuhusu kukuachia uwe unanilipa kwa mwezi itakuwa ngumu kwa sababu hela zinahitajika kupelekwa sehemu flani nje ya mkoa na ni mambo ya kiofisi zaidi. tuwasiliane zaidi kama unahitaji kuchukua either vifaa tu au na fremu moja kwa moja. 0653116399
Sasa nimekuelewa ipasavyo, Asante kama kuna chochote ntakupigia.
 
Unaweza ukaainisha hivyo vifaa ndugu hata kwa ufupi mfano una microwave 1, viti?? Na vya aina gani nk. Ili mtu apate taswira maana unaweza ukasema milioni tano kumbe jumla ya vitu gharama yake ni mil 1
 
Sasa nimekuelewa ipasavyo, Asante kama kuna chochote ntakupigia.
Nashukuru kwa kunielewa ila samahani kuhusu vifaa kama ikitokea ukavihitaji ni kwamba nauza vyote kwa wakati mmoja sio kimoja kimoja.hata hivyo ukihitaji na fremu itakuwa bora zaidi maana fremu ni nzuri,kubwa,iko site,maji yako karibu na bei nafuu.
Karibu
 
Mkuu nashauri uuze hisa ili wadau tuanze kuchoro ya maana na hatimaye uone malengo yako yatimie!! Najua waswahili wanalostisha sana, hawajui kuwa hiyo ni kazi kama kazi zingine!! So please, kama kuna wadau wanaoweza wauzie hisa ili kitu kiendelee...naimani kuna wadau watajitokeza!!
 
Unaweza ukaainisha hivyo vifaa ndugu hata kwa ufupi mfano una microwave 1, viti?? Na vya aina gani nk. Ili mtu apate taswira maana unaweza ukasema milioni tano kumbe jumla ya vitu gharama yake ni mil 1
Mkuu usijari meza ni za mbao,viti ni vizuri vya plastic na ni vingi,kabati,fridge,vifaa vya chips kama makabati na meza yake e t c,na vifaa vyote ni vizuri zaidi.
kiufupi hamna ulaghai hapo mkuu.kwa uhakika zaidi kufanya biashara tunaweza onana tukafanya mahesabu. 0653116399
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom