Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,246
- 2,868
Kabla ya kuenea simu kubwa "smartphones" nakumbuka nilikuwa nadownload nyimbo zangu kupitia waptrick na siku mojamoja kupitia tubidy. Hata baada ya kuja simu janja nikawa naendelea kuingia waptrick kwenye browser naendelea kuinjoi
Akaja kaka yangu akanitumia file la kudownloadia linaitwa Videoder na hapo nikawa nimeisaliti waptrick kabisa... sasa siku nikaona nyimbo nikidownload kupitia videoder kuna mlolongo mrefu wa kupata wimbo halisi unaoutaka nikasema niingie waptrick nakuta imejaa matangazo kibao mpaka yananizuia nashindwa kuitumia nikaiacha
Siku nyingine tena kujaribu mwendo ni uleule basi nikajisemea bye bye waptrick, nikawakacha mazima nikabaki na videoder yangu. Mara videoder nao wakaanza masharti ya kusign in ndipo udownload nikaona fresh, mara usign in ndipo usearch nikachukulia poa pia, hee majuzi hakuna cha kusign in wala nini haitaki kabisa kufanya kazi upande wa "all" lakini kwenye browser unatumia tu
Tatizo hili lilikuwa kwangu tu kwa wenzangu fresh mara sasahivi wote hatutumii tumehamia vidmate lakini hata hakuna raha kama kwenye videoder. Huku matangazo yanasumbua mbaya napo. Features za vidmate hazikaribii videoder hata kwa mbali
Uzuri wa videoder kwangu ni urahisi wa kuitumia, features zake na uwezo wake wa kudhibiti matangazo wakati wa kuitumia. Uzuri wa waptrick nao ni audio zake (music) ambazo zinakuwa ni orijino kabisa siyo kama ukichukulia kwingine unakuta wimbo umewekwa mambo ambayo wewe huyahitaji
Tafadhali naomba mwenye ujuzi wa kufanya nirudie kutumia videoder na/au waptrick anisaidie!
Akaja kaka yangu akanitumia file la kudownloadia linaitwa Videoder na hapo nikawa nimeisaliti waptrick kabisa... sasa siku nikaona nyimbo nikidownload kupitia videoder kuna mlolongo mrefu wa kupata wimbo halisi unaoutaka nikasema niingie waptrick nakuta imejaa matangazo kibao mpaka yananizuia nashindwa kuitumia nikaiacha
Siku nyingine tena kujaribu mwendo ni uleule basi nikajisemea bye bye waptrick, nikawakacha mazima nikabaki na videoder yangu. Mara videoder nao wakaanza masharti ya kusign in ndipo udownload nikaona fresh, mara usign in ndipo usearch nikachukulia poa pia, hee majuzi hakuna cha kusign in wala nini haitaki kabisa kufanya kazi upande wa "all" lakini kwenye browser unatumia tu
Tatizo hili lilikuwa kwangu tu kwa wenzangu fresh mara sasahivi wote hatutumii tumehamia vidmate lakini hata hakuna raha kama kwenye videoder. Huku matangazo yanasumbua mbaya napo. Features za vidmate hazikaribii videoder hata kwa mbali
Uzuri wa videoder kwangu ni urahisi wa kuitumia, features zake na uwezo wake wa kudhibiti matangazo wakati wa kuitumia. Uzuri wa waptrick nao ni audio zake (music) ambazo zinakuwa ni orijino kabisa siyo kama ukichukulia kwingine unakuta wimbo umewekwa mambo ambayo wewe huyahitaji
Tafadhali naomba mwenye ujuzi wa kufanya nirudie kutumia videoder na/au waptrick anisaidie!