Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,696
- 12,415
Rapa mkali na mwenye rekodi kedekede kwenye Muziki anaoufanya Drake, ameishtua Dunia baada ya video ya utupu inayodaiwa kuwa ni yake kusambaa kwenye mitandao mbalimbali ulimwenguni.
Video hiyo imezua maswali mengi, huku mashabiki wakitaka kujua ni nani hasa aliesambaza video hiyo mitandaoni.
Taarifa toka vyanzo mbalimbali vya Burudani zinadai kuwa bado muhusika aliesambaza hiyo video hajajulikana.
Written by Mjanja M1 ✍️
Video hiyo imezua maswali mengi, huku mashabiki wakitaka kujua ni nani hasa aliesambaza video hiyo mitandaoni.
Taarifa toka vyanzo mbalimbali vya Burudani zinadai kuwa bado muhusika aliesambaza hiyo video hajajulikana.
Written by Mjanja M1 ✍️