Brakelyn
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,181
- 517
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kukataa hoja ya Mh. Tundu Lissu ya kuomba idhini ya Spika kutoa hoja kuahirisha shughuli za Bunge ili kujadili jambo la dharura kuhusiana na ajali ya meli iliyotokea...hii inaonyesha wazi kwamba hakuna umakini ndani ya serikali katika kushughulikia majanga kama hayo. Swala muhimu kama hilo linapaswa lijadiliwe kwa umakini ili kuokoa maisha ya waTanzania wasio na hatia.
majibu ya naibu spika kwa hoja ya mh. Lissu
majibu ya naibu spika kwa hoja ya mh. Lissu
Last edited by a moderator: