Mtaalamu wa Sera CCM - Wilson Mukama anadai
Sehemu ya Pili
- Sera Zinatekelezeka ( sio Zakufikirika /Utopia)
- CCM inawawezesha Watanzania kwa Maarifa (Wakati jukwaani wanasema Elimu bure ni ndoto)
- CCM inajua wingi wa rasilmali za Tanzania ( wakati huo huo wawekezaji wa nje wanatudanganya mfano sekta ya madini)
- Elimu na Afya bure CCM inategemea zaidi sekta binafsi ziiboreshe (Fikra mbadala Afya na Elimu ni jukumu la serikali kutokana na wananchi kuwa masikini)
- CCM kuwawezesha wakulima na watanzania kwa masoko na viwanda vya kusindika (Wakati mazao ya wakulima yanaoza Rukwa, Mbeya na Ruvuma)
Sehemu ya Pili
Last edited by a moderator: