Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Hii kali jamaa kule Nyeri Kenya wamewalazimisha wasukuma mikokoteni kuoga hadharani maana wanasema ni wachafu hawaogi na hawabadiili nguo. Vijana wa kazi wamefanya operation KUOGA NI LAZIMA kwa kuwaogesha hadharani hao wasukuma mikokoteni...
Hii kwa Bongo itawezekana kweli?
Hii kwa Bongo itawezekana kweli?
Last edited by a moderator: