Kule Kwetu
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 3,157
- 1,890
Cc: Madam B uko wapi weye aicee, kuja hizi pande weye...!
ndio hesabu za wanawake wa uswahilini hizi..hivi hizo hesabu unazopiga kama ulikuwepo wakati wanagawana..afu umeshau na kodi ya TRA hapo aliwapa ngapi..na VAT ilikuwa shilingi ngapi?We mwenzio kapiga pesa. Hachagui kazi. 10,000×7500. We bado unazungumzia premia ligi. Kampa msaga sumu 2m na Snura 2.5m muna love 2m. Wengine 5 1m. 5m. Ukumbi tarumbeta matangazo na vingine 10m. 65.5m yiko mfukoni kwa siku moja akizunguka mikoa yote pata picha . Mjini msingi kiuno
Million 65 bado unabisha
Yes watu 7500-8000Labda 65 za zimbabwe.
7500 ni watu? Teh Teh...
Vyovyote Pay as you earn. Value Added Tax. Pay as you run. Zikkwata hakosi 50 mndio hesabu za wanawake wa uswahilini hizi..hivi hizo hesabu unazopiga kama ulikuwepo wakati wanagawana..afu umeshau na kodi ya TRA hapo aliwapa ngapi..na VAT ilikuwa shilingi ngapi?
unatangaza biashara sio?Mimi sioni ubaya kila mtu na starehe yake.kwa kuwa sio sahihi kwako ndio iwe kwa kila mtu.na mie Wa pwani viuno hivyo navikata kwa sana tu
USIKU WA KISENGELI! HIVI VIGODOLO VIGODORO WATU KUTIKISA MATAKO SERIKALI ITAKATAZA LINI?
Yaan vinanipa raha hatarNyinyi hamtaki sisi tunataka na tutalipia kwa gharama yoyote ile
Na ndio kilicho baki kwake.Madame Wema Sepetu.
Mh! Amejaliwa mtoto Mwanamke,ila BAK hao wengine wanafaa hivyo hivyo kuwa mabango tu ya maonyesho ukighafilika tu ukasema uoe,utajidanganya madereva mtakuwa wengi na muoaji utakua kama gereji tu gari litahifadhiwa kwako.Dah! Hichi kiuno si cha kawaida hata kidogo.
Hahahahahahaaetiii manabii wa naonaa mbaliiiSioni mantiki ya majibu yako.. Kwamba kwa sababu ngono inafanyika wazi wazi vichochoroni basi nayo iruhusiwe na serikali kuonyeshwa hadharani runingani sio? Hii tabia ya baadhi ya watu kujifanya manabii uwa inanishangaza sana. Eti sisi wengine tulishasema
Watu hawawezi kutambuaa kituu kimojaa hata hicho kinachofanywa n moja ya tamaduni na baadhi ya jamii kukata mauno imeanza karne hiii tenaa especially wamevaaa mavazi maalumu yanayostiri nyeti zao kama dira na pia muda unaruhusu uck. ....swali huyoo mtt kafata nn maeneoo hayoo....pili kumbukeni duniaa inachange tulandane na utandawazi lakn uctutumikisheeeeeeèeKwani hapo ilipofanyika watoto walikuwepo?
Ubantu umo nasi milele, hata ngoma mashuleni wanafunzi wanakatika viuno...kutumbuiza hata siku za kusherekea kumaliza shule..tena wanavikata haswa, mbele ya wazazi na waalimu...na olikuwa furaha bila fikra mbovu. leo eti fyuu sijui fyaaa...mnalazimishwa kufungua hizo video kuangalia...ufeki mwingi umejaa watu sababu ya unini sijui...eti wai sijui wai sijui nini...wamekodi sehemu hawajaja majumbani mwenu kuwachezea watoto wenu...mzazi ukimruhusu mwamao hata mitaani kuangalia ni utajiju wewe na unavyolea...
Utamaduni wa kukata viuno umo ndani yetu, muwaache wanaopenda waburudike, kama uzungu sijui unini pelekeni hukoooo.
USIKU WA KISENGELI! HIVI VIGODOLO VIGODORO WATU KUTIKISA MATAKO SERIKALI ITAKATAZA LINI?
Balaaaaaaaaa!!Dah! Hichi kiuno si cha kawaida hata kidogo.
Point kabisa hii ni asili yetuWatz tumezidi unafki. Kukata mauno ni asili yetu. Ina mana mdumange ufungiwe sababu watu wanakata mauno hadharani? Mtutokee hapa na maadili yenu uchwara. Mmezaliwa mmekuta utamaduni uko hivi ubadilishwe kisa nyie ndo mna watoto ama?
pale pale ESCAPE one au wengine walikaa BIAFRA!?Yes watu 7500-8000
Siku utapogundua mwanao ama nduguyo wa karibu amekumbwa na hilo balaa ndo utaelewa kwanini watu wanalivalia njuga.Lilo sawa kwako laweza lisiwie sawia kwa mwenzioHaya mambo, yaacheni tu, mwenye kuliwa kiboga aliwe tu, asiye taka aachane nayo.. mambo ya ndani sana haya