Video: Usiku wa kisengeli wa Wema Escape One ni Aibu

1471168225815.jpg
 
Kucheza cheza chupi nje ,si mkate viuno lakini mmejisitiri ? Mbona kuna mwanadada mmoja kwenye Nyimbo ya Kanda bongoman Billi ,huno analiweza halafu kajisitiri
 
Acha waendelea wanatupunguzia stress za Mjomba magu, Mara leo kasema hivi kesho vile, bora wapo akina snura naenda zangu kuangalia mikia, zip ikibana mashangi kibao nikiwa na hela ya gambe na bajaj namaliza mchezo
 
This is too childish..
Videos nyingi za mbele issues km za kuonekana utupu ni kawaida sana,mok videos zinazotengenezwa hapa Bongo zina maudhui hayo,so far utandawazi ushakua mpana sana..
Kama s/kali inazuia hzi mambo bsi kikubwa ni kutoa elimu kwa jamii tu halafu maamuzi yabaki kwa mhusika mwenyewe,maana mazingira yashakua na nguvu sana..
Elimu itakua na nafsi kubwa zaidi na sheria zitumike inapobidi
 
Hao wanaokatika ni mashabiki waliojilipia viingilio?
Well, at last wema nae ajipatie kipato halali manake Mie huwa sielewi anafanya nini mjini. Nilifikiri ni muigizaji lakini filamu ya mwisho sijui aliitoa lini
hahahahhaha. sasa angalau kazi yke itakua hadharani waziwazi kwmba mkata viuno. endapo kuna show sehem wanamkodi anapata chke anakta viuno. lmfao.
 
Sawa sister ingia kambini kuanza kujifua ukiweza kukata kiuno kama mrembo huyu au zaidi naomba nije kukuona ukifanya vitu vyako.

Kwa kweli.......kukiona tu ni burudani tosha......ila kila kitu ni mazoezi.....hapo ukiamua tu unakuwa na kiuno kama hicho.
 
Shukrani Angel Nylon kweli hii ni burdani ya hali ya juu, ningejua huyu mrembo anaitwa nani basi video zake zote utube za kiuno kilichojaliwa ni lazima ningeziangalia.
Mtoto MashaAllah.
Na nimependa alivoficha uso wake akaacha mambo yake mengine kweupeeee.
Kama ostrich vileee
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom