Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
kuna baadhi ya watu
wanaamini kikwete aliteleza au hakumlenga Godbless Lema kwenye hotuba ya yake ya juzi, kuwa mbunge alievuliwa ubunge na mahakama kwa shinikizo la ikulu kuwa ndiyo chanzo cha ukosefu wa amani Arusha hali iliyopelekea kutokufanyika kwa mikutano ya kimataifa mjini Arusha lakini ukirudisha kumbukumbu nyuma Nape ambae ni sauti ya Kikwete aliwahi kusema kesi hiyo watashinda hata kabla ya hukumu ya jaji na hivi karibuni mkuu wa mkoa alimpongeza jaji kwa kutoa huku iliyowafurahisha sana, hivyo ukifatilia mwenendo wa kesi hiyo ni zahri kabisa Ikulu kama alivyo dai Lema na kuthibitishwa na watendaji wa serikali akiwemo kikwete kwenye hotuba yake ya juzi. Na sasa ni wazi maneno aliyoyasema Nape alitumwa na raisi kuutangazia umma kuwa kesi ya Arusha wange shinda, ni wazi mkuu wa mkoa alitumwa na raisi kumshukru jaji kwa kazi waliyompa kuifanya kama walivyotaka maana haiingii akilini kwanini Nape alizungumzia kesi ya Arusha wakati kulikuwa na kesi zaidi ya kumi kipindi hicho tena zikiwa mahakamani .
Tujiulize
- · Kwanini CCM haitaki kushindwa Arusha maana tunajua tangu mwaka 1995 CCM imekuwa ikiangukia pua na kukimbilia mahakamani au kuchakachua.
- · Je CCM mtaitawala Arusha kwa mabavu mpaka lini?
- · Mnadhani Arusha iko tayari kutawaliwa na CCM.....?
Last edited by a moderator: