Huyu jamaa Nyerere alikuwa hatari. Anakiri jinsi alivyokuwa na power ya Constitution to be a Dictator!!
Pengine alikuwa na nia NZURI ila Strategy au execution of the Strategy ilikuwa Mbooovu
Wachache wanaielewa dhana hii Matunge. Wanadhani kujenga nchi yenye MAKABILA, DINI, MATABAKA mengi kiasi hiki ni lelemama. Kusimamia KATIBA au SHERIA kunataka "udikteta" wa aina fulani hivi.si kila wakati udikteta ni mbaya hasa kwa taifa ambalo bado ni changa
si kila wakati udikteta ni mbaya hasa kwa taifa ambalo bado ni changa
Hapana. Nimemwelewa sana Matunge. Tatizo ni pale ambapo baadhi ya misimamo ya Mwalimu kwa maslahi ya Taifa hili inaonekana ni udikteta.WILDCARD anamiss kuelewa hivyo.