VIDEO - Mtu Mwenye Bahati Kuliko Wote Duniani

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,318
33,125
VIDEO - Mtu Mwenye Bahati Kuliko Wote Duniani
3584154.jpg

Mtu mwenye bahati kuliko wote duniani Saturday, November 21, 2009 2:31 AM
Kuna watu wana bahati duniani lakini huyu jamaa wa nchini Mexico ana bahati kuliko watu wote duniani. Alinusurika mara mbili kimiujiza ndani ya sekunde chache kugongwa na treni mbili zenye spidi kali zilizokuwa zikimkaribia toka pande mbili tofauti. Angalia VIDEO mwisho wa habari hii uone jinsi alivyonusurika kimiujiza. Mwanaume huyu wa nchini Mexico ambaye inasemekana alikuwa amelewa, alinusurika mara mbili kugongwa na treni mbili tofauti zilizokuwa zikija toka pande tofauti.

Mwanaume huyo alikuwa akikatiza kwenye maungano ya reli nyingi wakati treni la kwanza lililokuwa kwenye spidi lilipomkaribia na ili kunusurika maisha yake alijirusha upande wa pili wa reli na kukoswa koswa na treni hilo.

Akiwa bado na mawenge ya kukoswa koswa na treni la mwanzo, treni jingine lililokuwa likija toka upande wa pili nalo lilianza kupiga honi likimkaribia kwa kasi na kumfanya ajirushe tena kwa mara nyingine kurudi upande aliokuwa mwanzo.

Kweli siku hiyo haikuwa siku yake ya kufa, jamaa alinyanyuka na kujikongoja taratibu toka eneo hilo.

Chini ni VIDEO mbili za tukio hilo.


VIDEO Namba 1- Mtu Mwenye Bahati Kuliko Wote Duniani


VIDEO Namba 2 - Mtu Mwenye Bahati Kuliko Wote Duniani





http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=3584154&&Cat=2
 
Hiyo sio bahati bwana, mbona unataka kupotosha maana? Mi sikuelewi huyo mtu kabahatika vipi kiulevi, hizo video zenyewe ziko wapi??
 
Hiyo sio bahati bwana, mbona unataka kupotosha maana? Mi sikuelewi huyo mtu kabahatika vipi kiulevi, hizo video zenyewe ziko wapi??

we nawe what are the odds of a dunken buffoon surviving two speed trains. Trust me bookies wata iweka in millions wakijua jama aponi.

Hila sijui kama anabahati kushinda watu wote duniani, kuna couple majuzi wamelamba £45 million pounds tax free. Now hii ndio bahati kwangu.
 
Oooh shit! What's up with all these people nowadays 'playing' on train tracks, some even throwing their babies infront of incoming trains? Why they only release these videos when nobody gets hurt? Hopefully hatutayaona haya wahindi wakitujengea hizi treni za kasi!

Take a look at this.
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=-qfuowJQMu0&feature=related[/ame]
 
Back
Top Bottom