VIDEO: Mbowe na Slaa Ruksa Kugombea CHADEMA

Mtanke

JF-Expert Member
Nov 19, 2011
715
1,774
Akijibu swali la Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Tumaini TV wakati wa Mkutano wa Waandishi wa Habari Makao Makuu ya CHADEMA leo Mh. Benson Kigaila Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uratibu wa Kanda amesema Viongozi wa Kitaifa wa CHADEMA waliopo ruksa kugombea kwa mujibu wa Katiba iliyopo.

 
Last edited by a moderator:
sasa sisi tungehangaika bure hadi kwa Msajali kuzuia hii kitu?
 
sasa sisi tungehangaika bure hadi kwa Msajali kuzuia hii kitu?

Hawa ni haini kabisa sitaki kuwasikia
Wanaongoza kwa kuwalisha wafuasi maneno - maneno ya kigaia yamemezwa kama mwanafunzi wa kidato cha kwanza anavyokariri tafsiri ya biology. Katika vyama tujitahidi kuwa kama ccm ambao huwa na uchaguzi wa kupokezana vijiti.

Vinginevyo, tunaipoka na kuibaka demokrasia!
 
Hawa ni haini kabisa sitaki kuwasikia
Wanaongoza kwa kuwalisha wafuasi maneno - maneno ya kigaia yamemezwa kama mwanafunzi wa kidato cha kwanza anavyokariri tafsiri ya biology. Katika vyama tujitahidi kuwa kama ccm ambao huwa na uchaguzi wa kupokezana vijiti.

Vinginevyo, tunaipoka na kuibaka demokrasia!

watakuita msaliti wewe?
 
Hawa ni haini kabisa sitaki kuwasikia
Wanaongoza kwa kuwalisha wafuasi maneno - maneno ya kigaia yamemezwa kama mwanafunzi wa kidato cha kwanza anavyokariri tafsiri ya biology. Katika vyama tujitahidi kuwa kama ccm ambao huwa na uchaguzi wa kupokezana vijiti.

Vinginevyo, tunaipoka na kuibaka demokrasia!
yawezekana ukawa umeongea point kwa upeo wako ila baada ya kuweka hilo neno tu najisikia kichefuchefu na kesho ni idd, usiniharibie appetite yangu tafadhali!!
 
Huu ni ujambazi wa kijinga, huwezi kujifanya unaongoza umma wa watanzania ktk kutafuta kushika dola huku ukiwa huwaamini walioko chini yako, sasa tumtofautishe vipi MBOWE/SLAA na akina MUGABE, KAGAME na MUSEVENI? Kwamba ktk CDM hakuna wengine wenye sifa za kuwa wenyeviti/Katibu wakuu?

Mfano wa kuigwa ni CCM ambayo kila mara inateua katibu mkuu wa chama taifa na kila miaka mitano wanachagua mwenyekiti hivi vyama vingine vinaangalia sana ruzuku na si utawala kama vinavyojinasibu majukwaani. WATANZANIA TUWAPUUZE HAWA!
 
yawezekana ukawa umeongea point kwa upeo wako ila baada ya kuweka hilo neno tu najisikia kichefuchefu na kesho ni idd, usiniharibie appetite yangu tafadhali!!

nenda ukale kitu moto wewe acha kutuletea swaga zako, ulifunga wewe au unamezea mate vya jirani.
 
Hawa ni haini kabisa sitaki kuwasikia
Wanaongoza kwa kuwalisha wafuasi maneno - maneno ya kigaia yamemezwa kama mwanafunzi wa kidato cha kwanza anavyokariri tafsiri ya biology. Katika vyama tujitahidi kuwa kama ccm ambao huwa na uchaguzi wa kupokezana vijiti.

Vinginevyo, tunaipoka na kuibaka demokrasia!

Kupokezana vijiti vya wizi au uchawi?
 
Yaani ni dhahiri kabisa kuwa miaka mitano nyuma CDM kilipendwa sana na watz hata wale wasiokuwa na milalo ya kupindukia, sasa hv karibuni kinazidi kuonekana kama kichaka cha watu fulani tu. Kinaonekana kutotaka watu wengine kushika madaraka na inapotokea mtu kuonesha nia ya kusimama basi anaanza kuzongwa zongwa kama haini.

Rejea Zito miaka ya 2009 alipotaka uenyekiti wa chama kauli za kumzima zilisimama toka kwa viongozi wakubwa na wale waliostaafu (bifu likaanza), mwaka juzi akataka kutangaza nia ya kugombea urais ghafula chama kikakurupuka na kumponda, kisha alipotaka uenyekiti ndipo dhoruba likaanguka kabisa na hatimaye kutafutiwa njia za kumfukuza. Aidha, rejea CHACHA WANGWE, WARID KABOUR na wengine wengi.

Uongozi wa CDM ubadilike hata sisi tunapenda kuona ndugu zetu, watoto wetu, marafiki zetu, na sisi wenyewe tukiongoza ndani ya chama hicho bila husuda na bila kuuundiwa zengwe. CDM kiwe cha wote na si cha Mbowe na Slaa tu.
 
Huu ni ujambazi wa kijinga, huwezi kujifanya unaongoza umma wa watanzania ktk kutafuta kushika dola huku ukiwa huwaamini walioko chini yako, sasa tumtofautishe vipi MBOWE/SLAA na akina MUGABE, KAGAME na MUSEVENI? Kwamba ktk CDM hakuna wengine wenye sifa za kuwa wenyeviti/Katibu wakuu?

Mfano wa kuigwa ni CCM ambayo kila mara inateua katibu mkuu wa chama taifa na kila miaka mitano wanachagua mwenyekiti hivi vyama vingine vinaangalia sana ruzuku na si utawala kama vinavyojinasibu majukwaani. WATANZANIA TUWAPUUZE HAWA!

Wew msukule uzi ni ule ule. Mnataka mtuchagulie watu wenu. Kama wewe ni mwanachadema na unaona unafaa nenda ukachukue form ugombee kama tutakuchagua ushukuru. Unaanza kulia kabla ya sindano haijakuingia. Kama hutaki meza wembe ule. Alafu ukome mara moja kulinganisha chadema na chama mfu ccm.
 
ilikuwa iwe hivyo tu , hata kama kigaila asingetamka , katiba ya cdm iko wazi kabisa .
 
Zinaweza kuonekana pumba kweli, lakini kurudi nyuma kwa CDM kunatokana na mtu kama wewe kila mara kukumbatia ushabiki badala ya uhalisia wa mambo. Ni aibu chama kama CDM hakina kabisa mbinu za kupunguza "Conflicts" kiasi cha kuanza kukimbiwa na watu wake.

Sasa viongozi wanaanza kuwa mtaji wa vyama vingine. Karne hii wala haihitaji mtu kubashiri juu ya chama gani tz ni bora zaidi ya CCM. Chadema mmekuwa chama cha matukioa na uchonganishi.
 
Back
Top Bottom