Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
Heshima Kwako Mkurugenzi mtendaji wa bodi ya shida,
Afisa muandamizi wa matatizo ya ghafla.
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Kimaskini.
Mweka-hazina wa Dhambi.
Mratibu wa uoga.
Raisi mstaafu wa mapenzi na udanganyifu wa hapa na pale.
Katibu mkuu wa madeni.
Balozi wa vishawishi.
Kiongozi wa malengo yasiyotekelezeka!
Nakusalimu tu..Za jioni Mheshimiwa?..! [/QUOTE]
Makutano show, wala usikwazike na wadau kama hawa. Lazima wawepo ili dunia iweze kwenda. Yaani kwenye ecosystem, tunawahitaji sana maana baada ya kusugua sana ubongo na pilika za kutafuta rizki, unacheka kidogo ukikutana na watu hawa....