Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
Nimerushiwa na mdau mmoja hivi punde.... Ni kupitia mkoa mpya wa geita....
Mwenye kufahamu tafadhali atoe darasa - Viti maalum ni kwa ajili ya CCM au na vyama vingine? Endapo kikitokea chama tofauti na CCM kikawa na wabunge wengi kuliko CCM hao kina mama na dada zetu waliopita viti maalum bado watakuwa wabunge? Kuuliza si ujinga
Itakuwa imekula kwao! But kwa ninavyoijua CCM, hata sheria itapindishwa ilimradi wawemo!
:shock::shock: