ASIKARI
Member
- Oct 17, 2012
- 92
- 19
nilikuwa napenda sana kuangalia komedi za nyumbani..nilikuwa nafurahi na kucheka sana. kingwendu, bambo, muhogo mchungu, senga mzee majuto nk.
nachoshangaa ni kuwa siku hizi hawa wachekeshaji huwa hawanichekeshi pale ninapo angalia cd zao..sioni nn wanafanya.
je nisuala mradi wawe sokoni ama???? siamni kama naweza angalia komedi nikiwa na stress zangu then ikiisha hakuna kilicho pungua.
WITO ANGU KATIKA WAIGIZAJI WA TASNIA YA UCHESHI...CHONDE CHONDE EMBU KUWENI WABUNIFU WA VICHEKESHO JAMAN.
NA SIO SUALA LA KUTUJAZIA CD MADUKANI
nachoshangaa ni kuwa siku hizi hawa wachekeshaji huwa hawanichekeshi pale ninapo angalia cd zao..sioni nn wanafanya.
je nisuala mradi wawe sokoni ama???? siamni kama naweza angalia komedi nikiwa na stress zangu then ikiisha hakuna kilicho pungua.
WITO ANGU KATIKA WAIGIZAJI WA TASNIA YA UCHESHI...CHONDE CHONDE EMBU KUWENI WABUNIFU WA VICHEKESHO JAMAN.
NA SIO SUALA LA KUTUJAZIA CD MADUKANI