Vicent Nyerere: Hakuna polisi aliyepata kuwa mkuu wa wilaya

Kuelewa ni ngumu sana yy amesema mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya.

DALAI LAMA said:
Nimeitafakari hii kauli aliyoitoa meneja wa kampeni hapa east meru ambaye ni mbunge wa musoma vihsent nyerere kuwa ktk teuzi za magamba haijapata tokea polisi mstaafu akapewa u Rc ama U dc kama walivyo wenzao wa Jwtz.Na hata wanaojitokeza kuomba ubunge wanapigwa mbaya mno mfano Tibaigana.wanajamvi mwenye kumbukumbu ya IGP ama RPC aliyepewa post kisiasa atuwekee hapa..

Inawezekana ulisoma yanayokupendeza au hukumalizia, kuhusu IGP ama RPC, ndiyo maana nikasema incase akita basi nataja in advance, sasa naanza kukuelewa uliposema "kuelewa ni ngumu", ni kipi ambacho hujanielewa
 
kwani tanzania kuna majeshi mangapi wakuu?kwa hiyo ni polisi tu ndio wanabaniwa?kuna mtu anaweza kueleza sababu za kitaalam kwanini wa jwtz wengi ndio wamepewa vyeo hivyo?nikisema kwamba nafikiri maofisa wa jwtz kwa kujua habari nyeti za nchi hii wakiachwa waingie mitaani baada ya kustaafu ni hatari hivyo ikabuniwa mbinu hiyo kuendelea kuwaweka ktk system hadi wafe nitakuwa nimekosea ktk fikra zangu?
 
... wanahangaika kulinda magamb@ lakini hakuna return on investment
 
Nimeitafakari hii kauli aliyoitoa meneja wa kampeni hapa east meru ambaye ni mbunge wa musoma vihsent nyerere kuwa ktk teuzi za magamba haijapata tokea polisi mstaafu akapewa u Rc ama U dc kama walivyo wenzao wa Jwtz.Na hata wanaojitokeza kuomba ubunge wanapigwa mbaya mno mfano Tibaigana.wanajamvi mwenye kumbukumbu ya IGP ama RPC aliyepewa post kisiasa atuwekee hapa..

ngoja kwanza..mi mwenyewe niliparuka hapa...u mean nitoke kuwa RPC niwe DC kweli inaingia kichwani!?? kwani mfuko wa PSPF umefungwa!??huwezi kuwa na akili kama unategemea kustaafu IGP uwe RC Dodoma...WTF!??
kwa iyo ata tusiende mbali...kuna post nyingine ni afadhali waoekane hawana maana kuliko kupewa....
 
nawambien cdm nyie kila cku thread zenu na maneno yenu n kuleta chuki kwa wananchi,kama kaul hii ya visenti ni ya kichonganishi sana,

Na lengo kuu la chama cha upinzani ni kuichonganisha serikali na wadau wake period
 
kwa mantiki hii inamaana polisi hutumika kama nepi za watoto (disposables)! Hapa Nyerere hakuuma wala kung'ata ameitema nzima nzima!
 
Inabidi ifikie hatua Polisi wajitambue rasmi. Hii tabia ya Serikali ya CCM kuwatumia kama Kondom kisha wanawatupa hakika haifai kabisa. Mbona Wanajeshi wanakumbukwa. Ona MaKanali, Mameja Jeneral wengi ni Wakuu wa Mikoa.

Polisi amkeni! Ni wakati na nyie mkafanya mgomo kama wa Madaktari! Kwanza mnalipwa mishahara midogo, kazi yenu ya kukabiliana na majambazi ni ngumu na hatari lakini hamlipwi Risk allowance. Nyumba mnazoishi hazilingani na hadhi ya askari. Maisha yanazidi kuwa magumu kwa askari wa chini wakati wenzenu kina Said Mwema, Robert Manumba, nk maisha kwao ni mterezo.

Chunga kauli yako. yataweza kukukuta ya Mwigamba na Kibanda.
 
Kwani lazima awe RPC au IGP?
Kama utataka any Police officer I put the name of Adadi Rajabu in advance (DCI), ambaye ni balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe.

Pengine hujaelewa alichokisema mtoa mada wa kwanza, anazungumzia askari aliyestaafu na kisha kupewa madaraka mengine ya kisiasa kama ukuu wa wilaya au ukuu wa mkoa. Adadi bado hajastaafu jeshi la polisi, wakati anateuliwa kuwa balozi alikuwa bado hajastaafu, bali yalikuwa mabadiliko ya kulisafisha jeshi la polisi kuwatoa vigogo waliotumikia awamu ya mkapa.
 
Mkubwa eh, wapo ila ni kiasi kidogo.Mfano yupo Bwana MASAGA ACP aliwahi kuwa mkuu wa wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza kipindi cha Mh.Benjamini W.Mkapa.Ila yeye naweza kusema ilikuwa kama zengwe tu hiyo ni baada ya Mh.Mrema kupata mapokezi mazuri ktk mkoa wa Iringa na Mh.BWM kuvunjiwa gari na wahuni ktk harakati za kampeni ya kuingia Ikulu.Kwa ghadgabu Mh,baada ya kupata u-presida akafanya mabadiriko ya kuwa staafisha viongozi wa polisi wa Mkoa huo kwa manufaa ya umma.Katika uchunguzi wa nusanusa ikabainika ACP. MASAGA hakuhusika kwa njia yoyote,ndipo akamteua kuwa Mkuu wa wilaya kama kumpoza.Hata hivyo hakudumu sana yaani 1998-2002 hivi,aliachia madaraka baada ya kupata stroke,ambapo kilimpiga upanda mmoja wa mwili na kulazimika kustaafu rasmi.

daaah!umenikumbusha mengi. cna huakika kama bado yu hai huyo bwana. Jamaa alikuja kumbwa na maswahibu makubwa sana. Alikuwa na kesi ya taraka dhidi ya mke wake ambaye pia ni kamishina wa polisi.
 
Hii ni aibu kubwa sana kwa jeshi la polisi! jinsi wanavyojikomba kwa wanamagamba! Kumbe ni takataka tu!

Wakistaafu hawakumbukwi!
 
Vicent kafanya uchunguzi na kuligundua hilo, juenda wengi wao (police) hawaipendi ccm that1s why hawateuliwi.
 
Inagawa takwimu haziongopi, waongo wanatumia takwimu kulaghai.

Mh. Nyerere, MB anaweza kuwa yuko sahihi au karibu na usahihi kitakwimu.

Lakini kwa upande mwingine atakuwa anapotosha sana maana sidhani kwamba UDC / URC unatakiwa kuwa kwa watu wastaafu (wenye kada zozote) bali kwa ajili ya wananchi ambao bado wana nguvu, elimu ya kutosha na wenye uwezo wa kuongoza katika kusukuma harakati za maendeleo katika nyanja mbalimbali.

Kama ni suala la kuangalia ni nani anafanya kazi kubwa kuiweka CCM madarakani basi akina mama maskini wenye elimu ya chini vijijini ndio wanaoongoza, wanafuata Wanahabari (Betty Mkwasa ni mmoja tu kati ya wengi saana), kisha wanafuata Wasanii & Vijana wa UVCCM/ Green Guard mbona hawaambii hao wapewe Ukuu wa Wilaya / Mkoa?

Mh. Nyerere wake up & think critically! wenye hekima wanasema U- DC na U- RC katika katiba yenye marekebisho , viunganishwe na U- Meya / U- Wenyekiti wa Halmashauri na itafutwe title moja na wanaostahili kwa sifa za elimu na uwezo wa kuongoza wachaguliwe au waajiriwe kwa ushindani badala ya wewe kuendelea kupiga debe kuwa nafasi hizo ambazo ni nyeti sana katika kuleta maendeleo na pia kutumia rasilimali za nchi ziendelee kugawiwa kama njugu kwa uwiano wa WANAJESHI na Mapolisi WASTAAFU!! Mbona list yako ni ndefu maana sijasikia Mahakimu / Majaji wastaafu ambao ndio uhukumu kesi za rufaa za uchaguzi n.k n.k?

NINACHOSEMA NI KUWA KAMA WANAJESHI WASTAAFU NDIO WANAPEWA ZAIDI, ISIWE KIGEZO CHA KUENDELEZA UGOIGOI HUO, KWA KUTEUA TENA MAASKARI WA POLISI WASTAAFU WALIOZEEKA NA AMBAO WAKATI FULANI WANAWEZA KUWA OUT OF TOUCH NA MIKAKATI SHIRIKISHI YA MAENDELEO KATIKA WILAYA AU MKOA. UZOEFU WA MAJESHI YETU UMEKUWA NI KWENDA KWA AMRI ZAIDI BILA KUTAFAKARI KWA KINA WALA KUFANYA UPEMBUZI YAKINIFU.
 
Back
Top Bottom