Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
nadhani uelewa wa huyu vicent ni mdogo sana,ndo maana anatueleza mambo ya msiba wa baba wa taifa kitu ambacho hakina hata maana kwa watanzania kwa kuwa amechelewa kutueleza mambo haya leo ni zaidi ya miaka kumi tangu afariki baba wa taifa
hujui maana ya 'time will tell'. Kila mtu ana siri zake moyoni na kuna wakati zinatoka. Monica Lewinsky aliweka siri na mwisho alitoa