Yaani huu ndio mwisho wa kufikiria, khaaaaa
Mbona viko bomba tuuu!!
Vinaitwa "mtanjeko"!
Manyara Tunaita "Maraio"tabora wanaita makatambuga.
Manyara Tunaita "Maraio"
MAISHA BORA KWA KILA M TANGANYIKA inaleta woga sana hii picha Mbuzi Mzee :redface::A S-confused1:
Asalaam alykum bibie Mwali hujambo? umepotea kama shilingi ya mkoloni? Nime ku miss sana.....................Nani kasema hapo ndio mwisho wa uwezo wetu wa kufikiria?
Wengine kama Masoud Kipanya wamethubutu na wamesonga mbele:
Nani kasema hapo ndio mwisho wa uwezo wetu wa kufikiria?
Wengine kama Masoud Kipanya wamethubutu na wamesonga mbele: