Mr Penal Code
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 823
- 213
jamani hawa Mmbu wanauma kaaah..humu ndani kama shamba la Mmbu..usiku mwema jamani.
Hayo ndy mapato ya faida ya kulala sebuleni!
Umembonji chumba ndefu nini?
Pole
tafuta mti mmoja unaitwa Mgalala majani yake uwe unajipaka Mmbu hasogei .
haaaaa..teh.teh...Hapana siwezi kupaka Mgagala nitanunua RunGU
Mi nilidhani mambo ya minara hapo kitandani kumbe mbu!! Ebooo....kwani we hujapata net za Bush?
ukitaka net za pori nipe kibarua. Nimeamka salama mie, je wewe?YNNAH mambo? Ulivyoamka ? Juzi sijui ukanichoropokaje! Nway na mie nataka hizo Neti za pori !
We unazo? Kama jibu ndiyo UTANIPA ?
Hayo ndy mapato ya faida ya kulala sebuleni!
Umembonji chumba ndefu nini?
Pole
tafuta mti mmoja unaitwa Mgalala majani yake uwe unajipaka Mmbu hasogei .
ukitaka net za pori nipe kibarua. Nimeamka salama mie, je wewe?
Kumbe unaendaga kwa waganga?weeeeeeeee unamwambia mwenzio apake majani, ili akiamka asubuhi anuke kama mganga wa kienyeji eeeeeh?
weeeeeeeee unamwambia mwenzio apake majani, ili akiamka asubuhi anuke kama mganga wa kienyeji eeeeeh?
Kumbe unaendaga kwa waganga?
Kibarua si kilikuwepo! Ukadai waendea mivyeti ?
Thn ndo ukachikichia mazima! Ningekusaidiaje? Na contacts hukua umeacha?
Rite nw keepleft cheupee! Kilishapruniwa! Utasubiri hadi kimee tena ? Si u'request category sustainable ?
Kiafya nimeamka poa.
Unanipaje hiyo Nepi No i mean Net?
hakuna kilichoharibika, najua soon majani yataota tu kwenye mnara. Hapo ndio tutafanya bata trade sasa
hahha kha!guest za buku buku hizo, utakufa kwa malaria kijana
usiku mwema mpz mana mm nina mda sana sijaona mbu aisee mana huku kijijini kwetu hakuna kabisa mtu anatumia iyo kitu ilo baridi lililoko hata wanakufa wenyewe wote naonajamani hawa Mmbu wanauma kaaah..humu ndani kama shamba la Mmbu..usiku mwema jamani.