VETA wagundua gari linatotumia mionzi ya jua

Domo Zege

JF-Expert Member
Sep 18, 2010
692
228
MAMLAKA ya Mafunzo na Ufundi Stadi Tanzania (VETA) imesema kuwa wameunda gari linalotumia mfumo wa sola.
Mtafiti wa Soko la Ajira wa VETA, Abdallah Mhagama, alisema gari hilo walilolibuni halina moshi wala kelele lakini likiwa mahali ambapo hakuna jua kwa saa tano haliwezi kufanya kazi.
Alisema utafiti wa gari hilo ulichukua mwaka mmoja ambapo lina uwezo wa kubeba watu wanane. “Gari hilo la sola lina spidi 100 kwa saa. Veta tuna uwezo wa kubadilisha gari lolote kulipeleka kwenye sola,” alisema na kuongeza kuwa magari yanayotumia sola hayana gharama.

Kwa mujibu wa mtafiti huyo, alisema gari hilo limegharimu shilingi mil. saba. Alisema ubunifu huo utasaidia kupunguza gharama za mafuta.

Sorce Tanzania Daima

 
Waaoh, good news ngoja nipeleke mkweche wangu, yaani kiangazi ni full kujiachia! Ngoma unakuja usiku, l hope kutakuwa na back up battery.

Good job VetA!
 
Good job, bajet just 7m ingekuwa serikali ya magamba wangepiga bajeti billions of money ili wale cha juu. CCM bwana ni cancer ya Taifa
 
MAMLAKA ya Mafunzo na Ufundi Stadi Tanzania (VETA) imesema kuwa wameunda gari linalotumia mfumo wa sola.
Mtafiti wa Soko la Ajira wa VETA, Abdallah Mhagama, alisema gari hilo walilolibuni halina moshi wala kelele lakini likiwa mahali ambapo hakuna jua kwa saa tano haliwezi kufanya kazi.
Alisema utafiti wa gari hilo ulichukua mwaka mmoja ambapo lina uwezo wa kubeba watu wanane. “Gari hilo la sola lina spidi 100 kwa saa. Veta tuna uwezo wa kubadilisha gari lolote kulipeleka kwenye sola,” alisema na kuongeza kuwa magari yanayotumia sola hayana gharama.

Kwa mujibu wa mtafiti huyo, alisema gari hilo limegharimu shilingi mil. saba. Alisema ubunifu huo utasaidia kupunguza gharama za mafuta.

Sorce Tanzania Daima

Well done! Tatizo ni sera za serikali yetu hii legelege na mbovu. Zipo tafiti nyingi kama ile ya kufua umeme kwa kutumia upepo ambazo hakuna anayezizungumzia tena. Nina wasiwasi kwamba uvumbuzi huu pia unaweza kuishia kwenye makabrasha vinginevyo VETA wenyewe watafute mbinu za kuutangaza na kuulinda uvumbuzi wao huu. Juzi juzi imesomwa bajeti, lakini hatujasikia utafiti umetengewa kiasi gani!
 
Hongera...
Lakini Mkuu andika Wametengeneza sio Wamegundua....

Sababu hii sio teknologia mpya ipo siku nyingi sana ila advantage za petrol car zimefanya hii teknolojia isipendwe kwa sana
 
MAMLAKA ya Mafunzo na Ufundi Stadi Tanzania (VETA) imesema kuwa wameunda gari linalotumia mfumo wa sola.
Mtafiti wa Soko la Ajira wa VETA, Abdallah Mhagama, alisema gari hilo walilolibuni halina moshi wala kelele lakini likiwa mahali ambapo hakuna jua kwa saa tano haliwezi kufanya kazi.
Alisema utafiti wa gari hilo ulichukua mwaka mmoja ambapo lina uwezo wa kubeba watu wanane. “Gari hilo la sola lina spidi 100 kwa saa. Veta tuna uwezo wa kubadilisha gari lolote kulipeleka kwenye sola,” alisema na kuongeza kuwa magari yanayotumia sola hayana gharama.

Kwa mujibu wa mtafiti huyo, alisema gari hilo limegharimu shilingi mil. saba. Alisema ubunifu huo utasaidia kupunguza gharama za mafuta.

Sorce Tanzania Daima

Kichwa cha habari kinachanganya, si kweli kama VETA wamegundua solar car, hii teknolojia ipo na gari za kutumia nguvu ya jua zipo, japokuwa bado hazijaingizwa kwenye soko, ila boat zinazo tumia nguvu ya jua zipo na unaweza kuzinunua.

Wanachotakiwa VETA, ni kuunganisha hiyo teknolojia hiweze kutumika pamoja na magari yenye kutumia petrol au diesel, kwa namna ya kuweza kuifadhi nguvu ya kuendesha mpaka pale mtu anapoishiwa mafuta, ndipo nguvu ya jua inatumia kwa dharula.
 
MAMLAKA ya Mafunzo na Ufundi Stadi Tanzania (VETA) imesema kuwa wameunda gari linalotumia mfumo wa sola.
Mtafiti wa Soko la Ajira wa VETA, Abdallah Mhagama, alisema gari hilo walilolibuni halina moshi wala kelele lakini likiwa mahali ambapo hakuna jua kwa saa tano haliwezi kufanya kazi.
Alisema utafiti wa gari hilo ulichukua mwaka mmoja ambapo lina uwezo wa kubeba watu wanane. “Gari hilo la sola lina spidi 100 kwa saa. Veta tuna uwezo wa kubadilisha gari lolote kulipeleka kwenye sola,” alisema na kuongeza kuwa magari yanayotumia sola hayana gharama.

Kwa mujibu wa mtafiti huyo, alisema gari hilo limegharimu shilingi mil. saba. Alisema ubunifu huo utasaidia kupunguza gharama za mafuta.

Sorce Tanzania Daima

Huyu ndi wewe nini?


MAMLAKA ya Mafunzo na Ufundi Stadi Tanzania (VETA) imesema kuwa wameunda gari linalotumia mfumo wa sola.
Mtafiti wa Soko la Ajira wa VETA, Abdallah Mhagama, alisema gari hilo walilolibuni halina moshi wala kelele lakini likiwa mahali ambapo hakuna jua kwa saa tano haliwezi kufanya kazi.
Alisema utafiti wa gari hilo ulichukua mwaka mmoja ambapo lina uwezo wa kubeba watu wanane. “Gari hilo la sola lina spidi 100 kwa saa. Veta tuna uwezo wa kubadilisha gari lolote kulipeleka kwenye sola,” alisema na kuongeza kuwa magari yanayotumia sola hayana gharama.

Kwa mujibu wa mtafiti huyo, alisema gari hilo limegharimu shilingi mil. saba. Alisema ubunifu huo utasaidia kupunguza gharama za mafuta.
 
hii ni ndoto au ni ukweli…… Watuwengine wanakujaga na mawazo mazuri kwenye karatasi lakini wanashindwa kuyaweka kwa matumizi ya ulimwengu. Kama veta jamani wamevumbua hilo gari mbona hatuoni picha na nimdagani kiasi gani limeshafanya safari?
 
hii ni ndoto au ni ukweli…… Watuwengine wanakujaga na mawazo mazuri kwenye karatasi lakini wanashindwa kuyaweka kwa matumizi ya ulimwengu. Kama veta jamani wamevumbua hilo gari mbona hatuoni picha na nimdagani kiasi gani limeshafanya safari?
Mkuu hili jambo sio geni; gari za solar zipo na unaweza kutengeneza gari linalotumia nishati ya aina yoyote wala Veta hawajavumbua kitu, tatizo kubwa ni kwamba hizi gari zipo slow na sababu ya nguvu inatoka kwenye panels inabidi surface area yake iwe kubwa sana ili kuweza kupata umeme wa kutosha

kama yanazima hovyo hovyo yataongeza foleni
Mkuu wanaweza wakafanya gari ikawa hybrid yaani inatumia petrol na nguvu nyingine lakini solar sio perfect sababu ya panels zinatakiwa kuwa kubwa kwahiyo better option labda ni kutumia battery za kucharge lakini hata hii sababu battery zinakuwa nyingi inafanya gari inakuwa nzito
 
Back
Top Bottom