kishumbaz
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 912
- 1,252
Raisi wa Tff amesema ana muda wa terms 2 za kugombea baada ya kufanya amendment kwenye katiba!
Anasema wanaanzia kuhesabu terms zake pale amendments ilipofanyika, utumishi uliokuwa nyuma ya ile amendment hauhesabiki
Huu ni udeckteta, uchu wa madaraka, haikubaliki!
Anasema wanaanzia kuhesabu terms zake pale amendments ilipofanyika, utumishi uliokuwa nyuma ya ile amendment hauhesabiki
Huu ni udeckteta, uchu wa madaraka, haikubaliki!