Teh.. Nahisi mangi ni mara yake ya kwanza,haiwezekani kila ikifika mda wa mechi anazinguaBora wewe team Mellisaa, naona watu wengi humu wadau wa mfumo dumeee, kidogo kidogo utakuta wanaume oote team KLM. Hahaaaa! Mangi mwenzangu hana mashabiki kabisaaa.
Yaani nashangaa humu hamna hata mtu mmoja aliewahi kutokewa na hio situation??!!! Mimi ilishanitokea kabla ya tukio mikwara mingi kufika uwanjani bila bila! Ila replay haikuwa na kwere....Mbona akijaribu kwingine anawezaaa
Hahaaaaaa inatokea sanaaa. Watu wanajikoshaaa. Hata kubanwa tumbo inatokeaga na inaaibisha kishenziii.Yaani nashangaa humu hamna hata mtu mmoja aliewahi kutokewa na hio situation??!!! Mimi ilishanitokea kabla ya tukio mikwara mingi kufika uwanjani bila bila! Ila replay haikuwa na kwere....
Umuache kaka yetu Mangiii. Ama sivo wachagga tutaandamanaTeam KLM ndo mpango mzima...mihogo na karanga wiki nzima afu anatoa point 3 za bure Mezani,how can a man give it up so easily??ht kujitutumua kufanya warm up,alambe lambe chiu,apime oil...kapewa ulimi na vidole vya nn ss??kaniuzi sana Mangi,angekua best angu lazma ningemlamba kibao cha uso azinduke...sio kwa uzembe huo
Andamaneni tu maana hamna namna,ila muandamane kuelekea kanda ya ziwa na Mangi msimuache mje nae apewe semina elekezi,maana hii ya Magufuli ya atajielekeza humo humo naona imemshinda...Umuache kaka yetu Mangiii. Ama sivo wachagga tutaandamana
Mhhh kwa hiyo ni papo kwa hapo story?? Yani unaweka wahusika wako unaanza kutunga kipi kifuate ndani ya saa na kitu kinatoka mwake hivi?? Wewe KLM haswaaaa......Saa 3 kweli nimejua inanichukua 1 hour kuandikaaa. So hii naiandaa saa 1 na nusu flani, saa 3 naachia kitu hewani.