Hahahaa, dooh kwakweli hio ni aibu sana,sisi hatuelewi hayoAcha kabisa hiyo mambo!! Uneven elezea mwaka mzima ushakata tamaa sasa uniambiwa hiyo hapo kula....!!!
Kwa kweli mi timu KLM cna ujnja..teh teh teh!Kwa hio wewe team kubwa la maadui"
Ndio niko natiririka nayo hapa,sijui ndio imeisha? Nimekua addicted wallah
Kwa hio wewe team kubwa la maadui"
Nipo napikaaa! Mpaka nimedownload app ya Jf kuwapa utamu tuuu, kwenye hiki kimeo. Sijui mmeniweka msukule.
The cooking here sucks.....maliza basi mama au usiwe unasema utaendelea saa ngapi manake unatuweka roho juuuu.....Nipo napikaaa! Mpaka nimedownload app ya Jf kuwapa utamu tuuu, kwenye hiki kimeo. Sijui mmeniweka msukule.
Ulishasoma ile ya Padre?lala 1 hujawahi leta udaku mtamu kama huu tangu nianze kufuatilia post zako. nimekua addicted na hii story aisee
Pika, pika! Toka saa kumi juu ya alama nilishatua hapa.Nipo napikaaa! Mpaka nimedownload app ya Jf kuwapa utamu tuuu, kwenye hiki kimeo. Sijui mmeniweka msukule.
hahahah anapika anamaanisha ndo anaandika hyo storii yenyewe haimanishi kwamba yuko kwa jiko anapika msosilala 1, achana na mambo ya kupika utupe ubuyu. tafuta hausigeli afanye kazi zako zote sie tunamlipa.
hahahah anapika anamaanisha ndo anaandika hyo storii yenyewe haimanishi kwamba yuko kwa jiko anapika msosi
Huku na huku kajisahau, kamwaga kila kitu ndaniii.
ITAENDELEA SAA 3 USIKU.