Tutakutimu upate muda mzuri wa kusoma hizo stories...Si kwa utamu wa story hii kwe kweli. Weee weka tu mambo, kukesha tutakesha, kudamka tutadamka na makazini tutaiba muda wa mwajiri tu maana hakuna namna nyingine
haaa haaa naona na timua timua hii hatari. Nitakuwa manager wa LaraTutakutimu upate muda mzuri wa kusoma hizo stories...
Teh,mzee wa busara,huu sasa ni kutuwangia mchana kweupe...hachakai anakuza na kutambulisha kipaji,jf ni pana lazima masponsor wapatikaneMchangieni basi hata buku buku za vocha......kazi kusifia tu, lara 1 usiweke episode nyingine wakuchangie uchakavu kidogo
Hahah,huyu mangi ni tatizo..najikuta nacheka kwanguvu ka chizi...Nimeendelezaaaa tayariii
shimbonyi shafoo lara ....kweli mangi katuangusha yani zigo hilo gari inakataa kuwaka itakua alipanika 2..angewashika kwenye gia ingewakaNimeendelezaaaa tayariii
hahaaa meku kaharibu show ya kwanza gari haiwaki.....mybi betri ilikua low au mshadede ulipata presha y ghaflaHahah,huyu mangi ni tatizo..najikuta nacheka kwanguvu ka chizi...
Hahahaa binduki imejam katikati ya vita...sijawahi ona show ya kwanza kapaniki mpaka abdallah kazingua,huu ni uzembe uliotukuka...hahaaa meku kaharibu show ya kwanza gari haiwaki.....mybi betri ilikua low au mshadede ulipata presha y ghafla
Roho ikamuuma kinomaaa mangi wa watuu, akatoka tu kwa upole, ila aksema lazima amle yule demu na atamla kwa ugwaduuuuuuu na jazbaaaa, si kwa neno lile la kufananishwa na mngeseeee!
ITAENDELEA LEO LEO.
meku itakua alikua n stress zke mana ukiwa n stress mzigo kujam hutokea sana....yani shepu lote la mdada plus kumchezea mshadede ngoma ikagoma kuna shida hapoHahahaa binduki imejam katikati ya vita...sijawahi ona show ya kwanza kapaniki mpaka abdallah kazingua,huu ni uzembe uliotukuka...