Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Mpaka leo na dakika hii na utu uzima wangu sijui umuhimu na sababu za kuzungusha na kukimbiza mwenge .Naona ni ufisdi na unasambaza ukimwi zaidi na umsikini kuliko lengo lililowekwa mzee nyerere,wapeleke tu nyumba ya makumbusho
yaani unaeneZa ukimwi vibaya sana ..sehemu inayolala mwenge we kagua tu watu wanakwenda hawajavaa chupi kurahisisha michakato