Uzururaji na Ubangaizaji: Idlelism

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
4,526
1,529
Hivi ni Li-Ugonjwa gani hili Tanzania? nilikuwa Dar wiki kadhaa zilizopita, nimeona kila kona iwe asubuhi, mchana au jioni, watu wako kihovyohovyo, vijiwe kibao, kuzurura kila kona, watu wamejikalia, nkajiuliza, hivi wana hawana kazi?

Kama tutakaa tudai eti hatuna watu wa kufanya kazi, itakuwa ni uongo mkubwa sana.

We have a lot of free labor, pentyful, tena ni watu wenye afya na uwezo wa kufanya kazi.

Je hawa wanachangia kwa kiasi gani kuhujumu safari ya kutuletea maendeleo?

Wala msinidanganye eti kisa hakuna wa kuajiri au ajira ni haba, tukiwa na nia, tunaweza tumia hii nguvu kazi na kuondokana na Uzururaji a Ubangaizaji!
 
Rev K

Hata walio maofisini tabia ni hizo hizo, unakuta nusu ya muda watu wanatumia kuchat na kuongea dili zao kwenye simu. Wengine wanaingia ofsini na kutumia facilities kwa manufaa yao, simu, fax na hata magari kibaya zaidi wengine ni kushinda JF baada ya muda ho wanaishia makwao na kesho vile vile. Wachache hufanya kazi za wengine.
 
Mkuu Rev Kishoka, Yaani yote haya ni matunda jinsi gani watu tulivyo na serikali yetu ilivyo, kama hakuna accountability toka kwao na sisi tunahangaika tu, Kuna watu walifanya makosa katika policies za kiuchumi katika taifa hili na leo tunalipa gharama hiyo
 
Rev K

Hata walio maofisini tabia ni hizo hizo, unakuta nusu ya muda watu wanatumia kuchat na kuongea dili zao kwenye simu. Wengine wanaingia ofsini na kutumia facilities kwa manufaa yao, simu, fax na hata magari kibaya zaidi wengine ni kushinda JF baada ya muda ho wanaishia makwao na kesho vile vile. Wachache hufanya kazi za wengine.
Na wewe huwa unafanyaje mzee wako?? Maana ukija kutazama kwa makini utakuta kila mtu anafanya hivyo. Kusema ukweli Watanzania hatuko Makini wala Serious katika mambo yetu ndio matunda yake, kwa hiyo mambo haya yanaanzia mbali sana na kutoka siku nyingi, Hali hii ipo kila sehemu, Serikali, Private sector,mashuleni, vyuo vyetu vikuu, kila sehemu hata sehemu nyingine pia
 
Na wewe huwa unafanyaje mzee wako?? Maana ukija kutazama kwa makini utakuta kila mtu anafanya hivyo. Kusema ukweli Watanzania hatuko Makini wala Serious katika mambo yetu ndio matunda yake, kwa hiyo mambo haya yanaanzia mbali sana na kutoka siku nyingi, Hali hii ipo kila sehemu, Serikali, Private sector,mashuleni, vyuo vyetu vikuu, kila sehemu hata sehemu nyingine pia

Huyo **** yeye ni species nyingine. Eti ni mwalimu wa chuo kikuu huko sijui Scotland....(hayo ndio madai yake)
 
Kishoka,
Some years back when my daughter was 12 niliwapeleka Dar. Akaniuliza, "dad, did you say you know the President?" Nikamjibu ' ndiyo. Akasema nipeleke basi nimwone nataka kumpa ushauri. Hawa vijana wamekaa hawana kazi wakati jiji la Dar linaendelea kuchafuka. Kwa nini rais asiwamobilize wasafishe mji na wapate ajira? Years later wazururaji na wabangaizaji hawajesha Bongo. Na bado hatuna ajira.
 
Nyinyi mnalaumu watanzania wakati hamuelewi kabisa mnachozungumza.

Unasemaje tena? hatujui tunachozungumza? Nenda Samora, Jamhuri,Uhuru,Congo, Kipata, Makunganya, Morogoro road, kila barabara ina watu wmeaa mkao wa kijiwe!
 
Huyo **** yeye ni species nyingine. Eti ni mwalimu wa chuo kikuu huko sijui Scotland....(hayo ndio madai yake)
Sijakusoma Pia nani Mwalimu?? Mimi nilikuwa nasema wewe mwenyewe kuwa huwa hufanyi kama Rev Kishoka alivyoandika hapo juu?? kama upo Tanzania kwa namna moja au nyingine utakuwa una ugonjwa huo na pia hii inasababishwa na mazingira yenyewe na kama kungekuwa na mikakati ya kweli katika uchumi basi ajira kibao kwa watu watanzania wangepata
 
unasemaje tena? Hatujui tunachozungumza? Nenda samora, jamhuri,uhuru,congo, kipata, makunganya, morogoro road, kila barabara ina watu wmeaa mkao wa kijiwe!

wewe unaita vijiwe,lakini wenzio wanapata kipato kwa vijiwe hivyo,,
tatizo la ajira sio tatizo la watanzania ni tatizo la serikali mbovu
kama mnaruhusu watu waingize mpaka vijiti vya meno na mifagio
kutoka nje kwa ushuru kidogo ajira lazima zife...
Hizo nchi zinazosifika kwa maendeleo kama china na malaysia
hawaruhusu kabisa bidhaa za kila aina kuingia kwenye nchi zao
automatic watu wataweza kujiajiri kama inalipa.
Sasa kijana wa kitanzania hawezi kutengeneza hata mifagio na
aka compete na wachina na wathailand.
Lazima serikali idhibiti biudhaa za nje kwanza ndo ajira zitaonekana,

msiwalaumu watanzania,hata wachina wasingefika hapo
kama wangeachia bidhaa za nchi zingine zijae kwao.
 
Huyo **** yeye ni species nyingine. Eti ni mwalimu wa chuo kikuu huko sijui Scotland....(hayo ndio madai yake)

Mkuu Julius acha kuniacha hoi bana... ! daah wabongo kwa kujipa shavu... mtu akikaa makongo juu au survey atasema mi natokea Chuo Kikuu
 
Sio kazi kubwa sana kuzungumzia matatizo tuliyonayo. Imekuwa fasheni siku za karibuni kila mtu anazungumzia matatizo yetu. Well...sasa imechosha, hebu tuangalie ufumbuzi wa haya matatizo...watanzania wanafanya hayo yanaoyonekana kwa sababu wamekata tamaa. Wengi hawaamini kama Tanzania inaweza kuwa nchi yenye neema, amani na maendeleo. Nini kifanyike na kifanyike vipi...naomba tujadili hilo.

SILENT DEATH OF A NATION

TANZANIA'S ECONOMIC, SOCIAL AND MORAL DEMISE.......DEBATE

While many nations are progressing towards positive economic and social changes, Tanzania is scampering towards self destruction. The stealthy negative drift of our country towards social-economic catastrophe, is rather worrying due to the very fact that, Tanzania's demise is being orchestrated by Tanzanians themselves who are rapidly replacing the culture of hard work with the get rich quick mythology, accompanied by endless lavish and unsustainable lifestyles, on top of irresponsibility on the part of country's leadership


Many people within our nation have been caught up in the middle of unorthodox lifestyles, which are impelling millions of us, to focus more on how to strike quick monetary deals, than being creative enough to think of sustainable life, many years after today. It is sad that many of our people have been swamped in this wave of unrealistic lifestyles, which has replaced discipline and hard work, with "starehe"; and this is worrying.


While transiting from Mara region through Kenya, back to Dar es Salaam, I had a few minutes to process necessary paperwork needed to cross (drive through) the border. In the process, I was compelled to make a few phone calls, and had no sufficient credit, and had to purchase additional credit from a nearby shop cum-bar, and restaurant prior to my departure, and my experience was rather pessimistic, and sad indeed to say the least; all I saw was a silent death of our nation
At nine in the morning, men, women and teenagers, strong enough to work were in, for a full blown party. In a simple language, the bar was full of people, and tables within, were full beer bottles. It was party time; staggering men and women who were evidently unable to hold their balance took to the floor, forcibly trying to keep up with the rhythm of the Congolese music "Bolingo", which controlled the tempo.


A day after arriving in Dar es Salaam, I had another trip to Morogoro with a group of volunteers. I was supposed to be picked up at a very popular spot, and on that day if I was to be a customer at this city spot, I would have been the first customer. A few minutes before ten in the morning, a small car pulled up with two young men, who were in their either mid twenties or early thirties. Less than ten minutes later, another vehicle pulled up with two more young men along with a lady, and both sat on the same table. They were well kept, and neatly dressed, with some of them holding expensive mobile phones.


No sooner did they take their seats than they were served with beer, and within no time, scary and heated soccer talk- fanaticism- ensued as some obviously were for the Manchester United, while the rest were Liverpool diehard fans. I was surprised when one of them identified me by name, even though we had never met before, and offered me a drink. I, however, Politely declined the offer, not only because I don't use alcohol, but mainly because of the time –it was too early- These were young people, strong enough to be doing all kind of work to push the economic wheel, yet were emptying beer bottles, and ready to fight for European football teams. I was embarrassed and astonished


I was given an example of a young man in the neighborhood that is living large; driving some of the latest automobiles, yet has never owned a business or received employment check. I was simply told that, "Hayo ndo maisha ya dili mjini". Coming from an environment in which seventeen hours of work a day is a routine, I could not believe or understand this culture in which young and able persons prefer idleness, and partying than working, and still drive Range Rovers. I decided to carry research to be certain before concluding otherwise. I visited the so called elite hanging spots, and my findings were not different from my previous ones.


High RANKING government officials goes to bars days in a row; I found many STK vehicles, Ministers Land Cruisers with their official's numbers on them. Three days in a row, and simply said, no wonder we are so poor, A culture of shame. I wonder what in the world they tell their boss, Mr. President when they fail to deliver, more so their electorate when their many promises turns to be hot air? Don't misquote me, nothing wrong with partying, however, should be done with moderation


Even though I left Tanzania in my late teenage years, my many years in foreign land never exposed me to such a culture, I have never witnessed anything of that nature, and can never jump into making conclusions, I am however, letting you the reader decide how a nation such a Tanzania can prosper, when her people are living to party instead of living to work. When her leaders and high ranking officials' penchant for their own ambitions and interests supersede the country's well being?


I was made to understand that the culture of deals is deeply entrenched not only in the streets, but also in major public organs, in which a handful or a few persons are truly committed to their work. Many have nothing more than brainstorming how to push bogus deals -payment claims- or simply get their customary 10% than defend the country. These poseur and obsequious officials are nothing but miniatures of EPA criminals, dragging the country into her death bed.
Tanzanians are pushing their country into total destruction.


Professionals entrusted with the power to protect the public, are the very people dishing licenses to businessmen and women setting up bars and nightclubs in residential areas without observing the guidelines and city buildings codes. A hall in Segerea CCM- Chama- is a typical example of the bars that plays music almost 14 hours a day in the middle of a residential area. Not only are they causing noise pollution, they are making it extremely tough for school children spending many hours scrambling to get home, particularly difficult to study, and the government is simply to powerless to act.


I cannot be persuaded to believe that, city of Dar es Salaam has no ordinances that prohibit times in which alcohol can be sold to the public. Neither can I believe that, there are no regulatory authorities that can enforce the ordinances that prohibit sound disturbance in residential areas. These are problems in poor areas of the city and not the likes of Masaki and Hoyster-bay where the elite bask.


In a country where a minister, can attend a bar, days in a row, go to sleep, get up the next day attend state duties with hangover. Believe me or not, such a man has nothing new for the country. All he has is time to sign anything that comes in front of him without looking in details the contents of that document, and that is why our country is getting poor and poorer, because there is no time to scrutinize shady contracts.

There is never going to be any economic progress as long as our top bottom leadership approach to finding our social, political and economic solutions lies in the hands of the people with more time to party and attend Ms. Tanzania pageantry than following up with the law enforcers on who kill Albinos. A culture of shame!


I wonder how logical and responsible people can describe a situation within a nation, in which young people are driving around without working. Top leaders are partying every day, young kids cannot study because they are exposed to bars with dirty language and uncontrolled music around the clock? And Laws established to protect the people are simply irrelevant to the poor majority, but too strong to protect the mighty and the powerful;

I see a negative progression, stealthy and fast demise of a nation. Our nation's economic future outlook is grim, social and moral pillars are in shambles. Tanzanians who love their country must be realistic with these shameful social vices.

We must work swiftly, rapidly, and collectively to condemn these acts of social perversion in order to resuscitate life into our nation from her slow and stealthy economic, social and moral death. If we can't be sacrificial and courageous enough to stand up to these vices tearing our country apart, by condemning them; instead spending our time discussing people's personalities, and fighting individual's progress, then we are in for a long night of affliction


Mungu Ibariki Tanzania John Mashaka

 
Ndio maana nasema kuwa Sera zetu tulikosea na ndio gharama zake hapa tunalipa na faida yake ndio hii hapa
 
hivi ni li-ugonjwa gani hili tanzania? Nilikuwa dar wiki kadhaa zilizopita, nimeona kila kona iwe asubuhi, mchana au jioni, watu wako kihovyohovyo, vijiwe kibao, kuzurura kila kona, watu wamejikalia, nkajiuliza, hivi wana hawana kazi?

Kama tutakaa tudai eti hatuna watu wa kufanya kazi, itakuwa ni uongo mkubwa sana.

We have a lot of free labor, pentyful, tena ni watu wenye afya na uwezo wa kufanya kazi.

Je hawa wanachangia kwa kiasi gani kuhujumu safari ya kutuletea maendeleo?

Wala msinidanganye eti kisa hakuna wa kuajiri au ajira ni haba, tukiwa na nia, tunaweza tumia hii nguvu kazi na kuondokana na uzururaji a ubangaizaji!
wewe akili yako haina akili ni rahisi kumlaumu mtu masikini huku ukija na kuondoka kurudi huko kwenye nchi ambazo si wewe wala baba yako aliyesaidia kuzijenga (mwizi!) kama unafikiri ni rahisi hivyo si ubakie utoe suluhisho sio kuja na kuondoka na kuanza kuwahukumu watu ambao haujui wanakula nini na wanalala wapi **** wee!
 
wewe unaita vijiwe,lakini wenzio wanapata kipato kwa vijiwe hivyo,,
tatizo la ajira sio tatizo la watanzania ni tatizo la serikali mbovu
kama mnaruhusu watu waingize mpaka vijiti vya meno na mifagio
kutoka nje kwa ushuru kidogo ajira lazima zife...
Hizo nchi zinazosifika kwa maendeleo kama china na malaysia
hawaruhusu kabisa bidhaa za kila aina kuingia kwenye nchi zao
automatic watu wataweza kujiajiri kama inalipa.
Sasa kijana wa kitanzania hawezi kutengeneza hata mifagio na
aka compete na wachina na wathailand.
Lazima serikali idhibiti biudhaa za nje kwanza ndo ajira zitaonekana,

msiwalaumu watanzania,hata wachina wasingefika hapo
kama wangeachia bidhaa za nchi zingine zijae kwao.

Kipato halali cha kutoka jasho au ni kipato cha magirini cha kubabaisha?
 
Back
Top Bottom