Uzuri wa Mbinguni

neno ni upanga

Senior Member
Jun 28, 2022
189
725
Habari wapendwa!

Watu wengi wanacheza na dhambi ni kwa sababu hawajui jinsi mbinguni kulivyo! Leo nitawatazamisha jinsi mbinguni kulivyo baada ya hapo utaamua mwenyewe kuendelea na dhambi au kwenda huko

Kutokea uso wa nchi hii kwenda juu kuna mbingu ya tatu, isiyoonekana kwa macho ya nyama, hiyo ndio mbingu nataka kuielezea hapa!( Namjua mtu mmoja katika Kristo, yapata sasa miaka kumi na minne, (kwamba alikuwa katika mwili sijui; kwamba alikuwa nje ya mwili sijui; Mungu ajua). Mtu huyo alinyakuliwa juu mpaka mbingu ya tatu.

2 Wakorinto 12:2)

Hizi ni sifa za hii mbingu

1: ni makao ya Mungu

2: hakuna usiku ;(
Wala hapatakuwa na usiku tena; wala hawana haja ya taa wala ya nuru ya jua; kwa kuwa Bwana Mungu huwatia nuru, nao watatawala hata milele na milele.

Ufunuo 22:5)

3: hakuna maumivu, wala kilio, wala maangaiko ya aina yoyote(
Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.

Ufunuo 21:4)

4: Chochote kilicho mbinguni kinaishi milele (nao watatawala hata milele na milele.
Ufunuo 22:5D

5: mbinguni kuna malaika wasio na idadi (Bali ninyi mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni, na majeshi ya malaika elfu nyingi,

Waebrania 12:22

6: mbinguni kuna magari yasio kuwa na idadi (Magari ya Mungu ni ishirini elfu, maelfu maelfu; Bwana yumo kati yao kama katika Sinai, Katika patakatifu.

Zaburi 68:17)

7: mbinguni barabara zake ni za kioo kiangavu (Na njia ya mji ni dhahabu safi kama kioo kiangavu. Ufunuo 21:21)

8: mbinguni kuna majengo makubwa sana na mengi sana (Na ule mji ni wa mraba, na marefu yake sawasawa na mapana yake. Akaupima mji kwa ule mwanzi; ulikuwa kama maili elfu na mia tano; marefu yake na mapana yake na kwenda juu kwake ni sawasawa.
Ufunuo 21:16

Note: kujua hesabu hii fanya hivyi
1mile =1.6093km
1500mile=?

= 1500mile×1.6093km/1mile

=2413.93km

Maanake jengo moja mbinguni urefu wake kwenda juu ni sawa na kutoka Lusaka Zambia kwa kupita mbeya mpaka nairobi Kenya!

9: mbinguni majengo yake yamejengwa kwa Vito vya thamani ya hali juu! madini ya thamani (Na misingi ya ukuta wa mji ilikuwa imepambwa kwa vito vya thamani vya kila namna. Msingi wa kwanza ulikuwa yaspi; wa pili yakuti samawi; wa tatu kalkedoni; wa nne zumaridi; wa tano sardoniki; wa sita akiki; wa saba krisolitho; wa nane zabarajadi; wa kenda yakuti ya manjano; wa kumi krisopraso; wa kumi na moja hiakintho; wa kumi na mbili amethisto.


Ufunuo 21:19-21


10: mbinguni kuna matunda ya kila namna na yenye Ladha nzuri isiyolinganishwa na chochote hapa duniani( katikati ya njia kuu yake. Na upande huu na upande huu wa ule mto, ulikuwapo mti wa uzima, uzaao matunda, aina kumi na mbili, wenye kutoa matunda yake kila mwezi; na majani ya mti huo ni ya kuwaponya mataifa. Ufunuo 22:2

11: mbinguni kuna kila aina ya chakula unachokijuq cha hapa duniani na kisichokuepo hapa duniani( Naye akaniambia, Andika, Heri walioalikwa karamu ya arusi ya Mwana-Kondoo. Akaniambia, Maneno haya ni maneno ya kweli ya Mungu.

Ufunuo 19:9

12: mbinguni kuna aina mbalimbali za juice kuliko za hapa duniani

13: mbinguni kuna mito mizuri ya kuogelea na inayotiririsha maji ya uzima

14: mbinguni kuna wanayama mbalimbali na wazuri wa kupendeza

15: mbinguni kuna bustani nzuri sana na yenye hewa nzuri kuzidi hizi za duniani unazozijua wewe!

16: mbinguni kuna miji mikubwa mbalimmbali na nyenye kujengwa kwa almasi na dhahabu tupu!

Hizi ni sifa chache kati ya sifa za mbinguni ambazo zijazieleza, kutokana uzuri na furaha ya mbinguni, muda wote watakaoingia mji huu watakuwa wanamsifu Mungu kwa kuwaokoa kutoka kwenye moto wa jehanum na kuwaleta kwenye raha ya milele

Utafika mbinguni kama wewe ni mtakatifu na umemwamini Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako.

Yesu anasema"
Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.
Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.,Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo.Yohana 14:1-4

images (13).jpeg
images (19).jpeg

Muendelezo soma: SEHEMU YA 2: Uhalisia wa Kuzimu (Reality of Hell)
 
1. Huo mji ulivyopambwa na dhahabu, unadhani utaona thamani yake? dhahabu ina thamani kwasababu ni adimu, ungekua unaona dhahabu kwenye kila jengo huko mtaani, ungeiheshimu?

2. Hakuna magonjwa, kifo, njaa, hakuna changamoto ni kusifu milele tu, wewe kwa akili zako timamu unaweza kufanya kitu kimoja milele bila kuchoka? Milele bila muda kuisha? labda kama Mungu atawafanya vikalagosi na kuondoa utashi wenu.

Hizi changamoto za maisha ndo zinafanya maisha yanakua na thamani

Mbingu, Kuzimu ni nadharia za watu wa kale waliokua wakidadisi kuhusu kifo, ukichunguza vizuri mbingu ni utumwa

Ingependeza zaidi kama Mungu angekua anakuruhusu utoweke usiishi milele, kuishi milele ni utumwa
 
Habari wapendwa!
Watu wengi wanacheza na dhambi ni kwa sababu hawajui jinsi mbinguni kulivyo! Leo nitawatazamisha jinsi mbinguni kulivyo baada ya hapo utaamua mwenyewe kuendelea na dhambi au kwenda huko

Kutokea uso wa nchi hii kwenda juu kuna mbingu ya tatu, isiyoonekana kwa macho ya nyama, hiyo ndio mbingu nataka kuielezea hapa!(
Namjua mtu mmoja katika Kristo, yapata sasa miaka kumi na minne, (kwamba alikuwa katika mwili sijui; kwamba alikuwa nje ya mwili sijui; Mungu ajua). Mtu huyo alinyakuliwa juu mpaka mbingu ya tatu.

2 Wakorinto 12:2)

Hizi ni sifa za hii mbingu

1: ni makao ya Mungu

2: hakuna usiku ;(
Wala hapatakuwa na usiku tena; wala hawana haja ya taa wala ya nuru ya jua; kwa kuwa Bwana Mungu huwatia nuru, nao watatawala hata milele na milele.

Ufunuo 22:5)

3: hakuna maumivu, wala kilio, wala maangaiko ya aina yoyote(
Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.

Ufunuo 21:4)

4: chochote kilicho mbinguni kinaishi milele (nao watatawala hata milele na milele.
Ufunuo 22:5D

5: mbinguni kuna malaika wasio na idadi (Bali ninyi mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni, na majeshi ya malaika elfu nyingi,

Waebrania 12:22

6: mbinguni kuna magari yasio kuwa na idadi (Magari ya Mungu ni ishirini elfu, maelfu maelfu; Bwana yumo kati yao kama katika Sinai, Katika patakatifu.

Zaburi 68:17)

7: mbinguni barabara zake ni za kioo kiangavu (Na njia ya mji ni dhahabu safi kama kioo kiangavu. Ufunuo 21:21)

8: mbinguni kuna majengo makubwa sana na mengi sana (Na ule mji ni wa mraba, na marefu yake sawasawa na mapana yake. Akaupima mji kwa ule mwanzi; ulikuwa kama maili elfu na mia tano; marefu yake na mapana yake na kwenda juu kwake ni sawasawa.
Ufunuo 21:16

Note: kujua hesabu hii fanya hivyi
1mile =1.6093km
1500mile=?

= 1500mile×1.6093km/1mile

=2413.93km

Maanake jengo moja mbinguni urefu wake kwenda juu ni sawa na kutoka Lusaka Zambia kwa kupita mbeya mpaka nairobi Kenya!

9: mbinguni majengo yake yamejengwa kwa Vito vya thamani ya hali juu! madini ya thamani (Na misingi ya ukuta wa mji ilikuwa imepambwa kwa vito vya thamani vya kila namna. Msingi wa kwanza ulikuwa yaspi; wa pili yakuti samawi; wa tatu kalkedoni; wa nne zumaridi; wa tano sardoniki; wa sita akiki; wa saba krisolitho; wa nane zabarajadi; wa kenda yakuti ya manjano; wa kumi krisopraso; wa kumi na moja hiakintho; wa kumi na mbili amethisto.


Ufunuo 21:19-21


10: mbinguni kuna matunda ya kila namna na yenye Ladha nzuri isiyolinganishwa na chochote hapa duniani( katikati ya njia kuu yake. Na upande huu na upande huu wa ule mto, ulikuwapo mti wa uzima, uzaao matunda, aina kumi na mbili, wenye kutoa matunda yake kila mwezi; na majani ya mti huo ni ya kuwaponya mataifa. Ufunuo 22:2

11: mbinguni kuna kila aina ya chakula unachokijuq cha hapa duniani na kisichokuepo hapa duniani( Naye akaniambia, Andika, Heri walioalikwa karamu ya arusi ya Mwana-Kondoo. Akaniambia, Maneno haya ni maneno ya kweli ya Mungu.

Ufunuo 19:9

12: mbinguni kuna aina mbalimbali za juice kuliko za hapa duniani

13: mbinguni kuna mito mizuri ya kuogelea na inayotiririsha maji ya uzima

14: mbinguni kuna wanayama mbalimbali na wazuri wa kupendeza

15: mbinguni kuna bustani nzuri sana na yenye hewa nzuri kuzidi hizi za duniani unazozijua wewe!

16: mbinguni kuna miji mikubwa mbalimmbali na nyenye kujengwa kwa almasi na dhahabu tupu!

Hizi ni sifa chache kati ya sifa za mbinguni ambazo zijazieleza, kutokana uzuri na furaha ya mbinguni, muda wote watakaoingia mji huu watakuwa wanamsifu Mungu kwa kuwaokoa kutoka kwenye moto wa jehanum na kuwaleta kwenye raha ya milele

Utafika mbinguni kama wewe ni mtakatifu na umemwamini Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako.

Yesu anasema"
Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.
Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.,Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo.Yohana 14:1-4

View attachment 2786339View attachment 2786340
Asante sana mtumishi. Ungesaidia pia hapo kutofautisha Kati ya mbingu mpya na nchi (dunia) mpya. Kuna vifungu vingine huongelea nchi mpya (dunia mpya). Asante.
 
Habari wapendwa!
Watu wengi wanacheza na dhambi ni kwa sababu hawajui jinsi mbinguni kulivyo! Leo nitawatazamisha jinsi mbinguni kulivyo baada ya hapo utaamua mwenyewe kuendelea na dhambi au kwenda huko

Kutokea uso wa nchi hii kwenda juu kuna mbingu ya tatu, isiyoonekana kwa macho ya nyama, hiyo ndio mbingu nataka kuielezea hapa!(
Namjua mtu mmoja katika Kristo, yapata sasa miaka kumi na minne, (kwamba alikuwa katika mwili sijui; kwamba alikuwa nje ya mwili sijui; Mungu ajua). Mtu huyo alinyakuliwa juu mpaka mbingu ya tatu.

2 Wakorinto 12:2)

Hizi ni sifa za hii mbingu

1: ni makao ya Mungu

2: hakuna usiku ;(
Wala hapatakuwa na usiku tena; wala hawana haja ya taa wala ya nuru ya jua; kwa kuwa Bwana Mungu huwatia nuru, nao watatawala hata milele na milele.

Ufunuo 22:5)

3: hakuna maumivu, wala kilio, wala maangaiko ya aina yoyote(
Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.

Ufunuo 21:4)

4: chochote kilicho mbinguni kinaishi milele (nao watatawala hata milele na milele.
Ufunuo 22:5D

5: mbinguni kuna malaika wasio na idadi (Bali ninyi mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni, na majeshi ya malaika elfu nyingi,

Waebrania 12:22

6: mbinguni kuna magari yasio kuwa na idadi (Magari ya Mungu ni ishirini elfu, maelfu maelfu; Bwana yumo kati yao kama katika Sinai, Katika patakatifu.

Zaburi 68:17)

7: mbinguni barabara zake ni za kioo kiangavu (Na njia ya mji ni dhahabu safi kama kioo kiangavu. Ufunuo 21:21)

8: mbinguni kuna majengo makubwa sana na mengi sana (Na ule mji ni wa mraba, na marefu yake sawasawa na mapana yake. Akaupima mji kwa ule mwanzi; ulikuwa kama maili elfu na mia tano; marefu yake na mapana yake na kwenda juu kwake ni sawasawa.
Ufunuo 21:16

Note: kujua hesabu hii fanya hivyi
1mile =1.6093km
1500mile=?

= 1500mile×1.6093km/1mile

=2413.93km

Maanake jengo moja mbinguni urefu wake kwenda juu ni sawa na kutoka Lusaka Zambia kwa kupita mbeya mpaka nairobi Kenya!

9: mbinguni majengo yake yamejengwa kwa Vito vya thamani ya hali juu! madini ya thamani (Na misingi ya ukuta wa mji ilikuwa imepambwa kwa vito vya thamani vya kila namna. Msingi wa kwanza ulikuwa yaspi; wa pili yakuti samawi; wa tatu kalkedoni; wa nne zumaridi; wa tano sardoniki; wa sita akiki; wa saba krisolitho; wa nane zabarajadi; wa kenda yakuti ya manjano; wa kumi krisopraso; wa kumi na moja hiakintho; wa kumi na mbili amethisto.


Ufunuo 21:19-21


10: mbinguni kuna matunda ya kila namna na yenye Ladha nzuri isiyolinganishwa na chochote hapa duniani( katikati ya njia kuu yake. Na upande huu na upande huu wa ule mto, ulikuwapo mti wa uzima, uzaao matunda, aina kumi na mbili, wenye kutoa matunda yake kila mwezi; na majani ya mti huo ni ya kuwaponya mataifa. Ufunuo 22:2

11: mbinguni kuna kila aina ya chakula unachokijuq cha hapa duniani na kisichokuepo hapa duniani( Naye akaniambia, Andika, Heri walioalikwa karamu ya arusi ya Mwana-Kondoo. Akaniambia, Maneno haya ni maneno ya kweli ya Mungu.

Ufunuo 19:9

12: mbinguni kuna aina mbalimbali za juice kuliko za hapa duniani

13: mbinguni kuna mito mizuri ya kuogelea na inayotiririsha maji ya uzima

14: mbinguni kuna wanayama mbalimbali na wazuri wa kupendeza

15: mbinguni kuna bustani nzuri sana na yenye hewa nzuri kuzidi hizi za duniani unazozijua wewe!

16: mbinguni kuna miji mikubwa mbalimmbali na nyenye kujengwa kwa almasi na dhahabu tupu!

Hizi ni sifa chache kati ya sifa za mbinguni ambazo zijazieleza, kutokana uzuri na furaha ya mbinguni, muda wote watakaoingia mji huu watakuwa wanamsifu Mungu kwa kuwaokoa kutoka kwenye moto wa jehanum na kuwaleta kwenye raha ya milele

Utafika mbinguni kama wewe ni mtakatifu na umemwamini Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako.

Yesu anasema"
Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.
Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.,Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo.Yohana 14:1-4

View attachment 2786339View attachment 2786340
Andiko lako linatengeneza maswali kibao, ambayo nadhani huwezi yajibu!

Swali la kwanza, nipe majina ya hizo mbigu mbili ambazo si makazi ya M/Mungu.

Na swali la pili: hao waliokaribishwa huko kwenye makazi ya mbingu ya tatu, siku ya kiama watarejeshwa tena duniani kwa kufufuliwa makaburini ili wapate hukumu itakayowabeba?

Je ni kweli Mungu anaweza kufanya ridandansi ya hukumu, akakuonjeshe kwanza pepo, halafu akukurupue huko kuja kusimama foleni ya kiyama huku akikujua kabisa wewe ni mtakatifu usiye na mawaa na tayari ushapokelewa?
 
Andiko lako linatengeneza maswali kibao, ambayo nadhani huwezi yajibu!

Swali la kwanza, nipe majina ya hizo mbigu mbili ambazo si makazi ya M/Mungu.

Na swali la pili: hao waliokaribishwa huko kwenye makazi ya mbingu ya tatu, siku ya kiama watarejeshwa tena duniani kwa kufufuliwa makaburini ili wapate hukumu itakayowabeba?

Je ni kweli Mungu anaweza kufanya ridandansi ya hukumu, akakuonjeshe kwanza pepo, halafu akukurupue huko kuja kusimama foleni ya kiyama huku akikujua kabisa wewe ni mtakatifu usiye na mawaa na tayari ushapokelewa?
Somo lake litakuja hivyi karibuni
 
Habari wapendwa!
Watu wengi wanacheza na dhambi ni kwa sababu hawajui jinsi mbinguni kulivyo! Leo nitawatazamisha jinsi mbinguni kulivyo baada ya hapo utaamua mwenyewe kuendelea na dhambi au kwenda huko

Kutokea uso wa nchi hii kwenda juu kuna mbingu ya tatu, isiyoonekana kwa macho ya nyama, hiyo ndio mbingu nataka kuielezea hapa!(
Namjua mtu mmoja katika Kristo, yapata sasa miaka kumi na minne, (kwamba alikuwa katika mwili sijui; kwamba alikuwa nje ya mwili sijui; Mungu ajua). Mtu huyo alinyakuliwa juu mpaka mbingu ya tatu.

2 Wakorinto 12:2)

Hizi ni sifa za hii mbingu

1: ni makao ya Mungu

2: hakuna usiku ;(
Wala hapatakuwa na usiku tena; wala hawana haja ya taa wala ya nuru ya jua; kwa kuwa Bwana Mungu huwatia nuru, nao watatawala hata milele na milele.

Ufunuo 22:5)

3: hakuna maumivu, wala kilio, wala maangaiko ya aina yoyote(
Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.

Ufunuo 21:4)

4: chochote kilicho mbinguni kinaishi milele (nao watatawala hata milele na milele.
Ufunuo 22:5D

5: mbinguni kuna malaika wasio na idadi (Bali ninyi mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni, na majeshi ya malaika elfu nyingi,

Waebrania 12:22

6: mbinguni kuna magari yasio kuwa na idadi (Magari ya Mungu ni ishirini elfu, maelfu maelfu; Bwana yumo kati yao kama katika Sinai, Katika patakatifu.

Zaburi 68:17)

7: mbinguni barabara zake ni za kioo kiangavu (Na njia ya mji ni dhahabu safi kama kioo kiangavu. Ufunuo 21:21)

8: mbinguni kuna majengo makubwa sana na mengi sana (Na ule mji ni wa mraba, na marefu yake sawasawa na mapana yake. Akaupima mji kwa ule mwanzi; ulikuwa kama maili elfu na mia tano; marefu yake na mapana yake na kwenda juu kwake ni sawasawa.
Ufunuo 21:16

Note: kujua hesabu hii fanya hivyi
1mile =1.6093km
1500mile=?

= 1500mile×1.6093km/1mile

=2413.93km

Maanake jengo moja mbinguni urefu wake kwenda juu ni sawa na kutoka Lusaka Zambia kwa kupita mbeya mpaka nairobi Kenya!

9: mbinguni majengo yake yamejengwa kwa Vito vya thamani ya hali juu! madini ya thamani (Na misingi ya ukuta wa mji ilikuwa imepambwa kwa vito vya thamani vya kila namna. Msingi wa kwanza ulikuwa yaspi; wa pili yakuti samawi; wa tatu kalkedoni; wa nne zumaridi; wa tano sardoniki; wa sita akiki; wa saba krisolitho; wa nane zabarajadi; wa kenda yakuti ya manjano; wa kumi krisopraso; wa kumi na moja hiakintho; wa kumi na mbili amethisto.


Ufunuo 21:19-21


10: mbinguni kuna matunda ya kila namna na yenye Ladha nzuri isiyolinganishwa na chochote hapa duniani( katikati ya njia kuu yake. Na upande huu na upande huu wa ule mto, ulikuwapo mti wa uzima, uzaao matunda, aina kumi na mbili, wenye kutoa matunda yake kila mwezi; na majani ya mti huo ni ya kuwaponya mataifa. Ufunuo 22:2

11: mbinguni kuna kila aina ya chakula unachokijuq cha hapa duniani na kisichokuepo hapa duniani( Naye akaniambia, Andika, Heri walioalikwa karamu ya arusi ya Mwana-Kondoo. Akaniambia, Maneno haya ni maneno ya kweli ya Mungu.

Ufunuo 19:9

12: mbinguni kuna aina mbalimbali za juice kuliko za hapa duniani

13: mbinguni kuna mito mizuri ya kuogelea na inayotiririsha maji ya uzima

14: mbinguni kuna wanayama mbalimbali na wazuri wa kupendeza

15: mbinguni kuna bustani nzuri sana na yenye hewa nzuri kuzidi hizi za duniani unazozijua wewe!

16: mbinguni kuna miji mikubwa mbalimmbali na nyenye kujengwa kwa almasi na dhahabu tupu!

Hizi ni sifa chache kati ya sifa za mbinguni ambazo zijazieleza, kutokana uzuri na furaha ya mbinguni, muda wote watakaoingia mji huu watakuwa wanamsifu Mungu kwa kuwaokoa kutoka kwenye moto wa jehanum na kuwaleta kwenye raha ya milele

Utafika mbinguni kama wewe ni mtakatifu na umemwamini Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako.

Yesu anasema"
Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.
Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.,Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo.Yohana 14:1-4

View attachment 2786339View attachment 2786340
Amen Ujumbe mzuri Sana Mungu Akubariki na Zaidi na Sisi siku moja tuwe na Mwisho Mwema tukamuone Kristo Yesu wa Nazareth Aliye Hai
 
Habari wapendwa Baada ya kujifunza uzuri wa mbinguni( makao ya Mungu): Leo tuangalia uhalisia wa kuzimu!

Kuna kuzimu mbili tofauti kuna kuzimu ambayo unaweza kwenda na kurudi( wachawi, wagangq, freemason, wafuga majini wanaenda na kurudi) hii inaitwa kuzimu bandia, au copy! Hii utakuta shuguli za kawaida zinaendelea, kuna magari, barabara, viwanda, jina lingine unaweza kuita ( marine kingdom)!

Kuna kuzimu ambayo haionekani kwa macho ya nyama, hii ndio makao ya wafu katika dhambi, wanahifadhiwa hapa kusubiri hukumu ya mwisho ya kwenda ziwa la moto!

Leo tuone sifa mbaya za sehemu hii!

1: hii ni sehemu yenye viumbe vya kutisha( mapepo yenye sura mbaya, majoka ya kutisha, na mengine hayapo hapa duniani yenye magamba yake mfano wa sindano)

2: hii ni sehemu yenye giza la kutisha, kinachosikika ni vilio vya watu wanaoteswa mahali hapa(
Na mtumwa yule asiyefaa, mtupeni mbali katika giza la nje; ndiko
kutakuwako kilio na kusaga meno.

Matayo 25:30

3: moto uliopo kuzimu, ni moto mfano wa lava ya volcano, watu walioko kuzimu, hewa yao ni moto!
Akalia, akasema, Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.

Luka 16:24




4: licha ya kuwepo viumbe vikali kwenye moto viumbe hivyi haviunguzwi na huu moto wala hawahisi huu moto kabisa, kazi ya viumbe hivyi ni kuwatesa wanadamu waliokufa katika dhambi!

ambamo humo funza wao hafi, wala moto hauzimiki.]

Marko 9:44


5: kuzimu kila mtu Ana mateso yake kulingana na kosa liliompeleka ,kule na kuna viumbe special kwa ajili ya kuhakikisha huyo mtu hapati muda wa kupumzika

Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake.

Luka 16:23

6: kuzimu haijai na haitawahi kujaa! Maana yenyewe inakuwa kulingana na watu wanaoingia humo!

Kuzimu chini kumetaharuki kwa ajili yako, Ili kukulaki utakapokuja; Huwaamsha waliokufa kwa ajili yako, Naam, walio wakuu wote wa dunia; Huwainua wafalme wote wa mataifa, Watoke katika viti vyao vya enzi.

Isaya 14:9



7: kuna minyoo ambayo kazi yao ni kuwatesa wanadamu tu!

8: kule hamna kifo tena, hata kama ukaunguq kama samaki hakuna kufa tena!

9: waliopo kuzimu wamepotea milele! Hawataokolewa tena!

10: kuzimu kuna vyumba mbalimbali na kila chumba kinawakilisha dhambi moja iliyopo duniani, mfano walevi wana chumba chao, waongo, wachawi nk! Na kwenye vyumba hivyo mateso yanatofautiana pia kutegemeana na uzito wq dhambi!

11: chumba kimoja cha kuzimu, kinakadiriwa kuwa sawa na bara la Africa kwa ukubwa ( Aston Adam mbaya)

12: kuna vyumba zaidi ya 351 kuzimu

13: kuzimu kuna vifaa mbalimbali vyenye ncha kali kwa ajili ya kuwatesea wanadamu! Na kuna machine mbalimbali kwa ajili ya kuwatesea wanadamu

Note: inakadiriwa kuwa hata kama ukichukua mateso yote duniani unayoyajua wewe huwezi kulinganisha na mateso ya mtu mmoja anayoyapitia kuzimu!

14: kuzimu wanaomba sekunde ya kurudi duniani kwa ajili ya kutubu na kuiamini injili lakini wamekwisha kuchelewa

15: kuzimu ni sehemu isiyonamtumaini, ni sehemu yenye upweke wa hali ya juu! Pamoja na ukiwa!

16: waliopo kuzimu wana utashi kamili, na wanakumbuka familiq zao, mali zao, ndugu zao, vyeo vyao! Lakini wamekwisha kuchelewa!

Kuzimu ni ya wote wasiomwamini Yesu kuwa mwokozi wao!! Na watenda dhambi, wanafiki,

Kutokana na elimu yako ya duniani, unaweza kupingana na ukweli huu! Lakini ukweli ni kwamba kama utaikosa mbingu basi hutaikosa kuzimu! Na hata kama ukiwa msomi wa degree 50, pr, Dk, mh, na vyeo vyote vya kiduniq, hutazuia siku kifo chako kikifika, usidanganywe dini yako ndugu yangu, ujue kuwa baada ya kifo ni hukumu hakuna cha sala yoyote itakayofanywa kukutoa kuzimu!! Wewe endelea kujifariji na dini yako, na elimu yako!!
Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;

Waebrania 9:27


Ni jambo la kutisha kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai.

Waebrania 10:31
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom