minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Bashiru na polepole tayari wamepiga chao kikubwa kwenye pesa za kuihujumu kuidhoofisha chadema wapo vizuri ni matajiri sasa licha ya kuingia CCM wakiwa masikini wa kutupwaUzuri wa JPM akishaingia madarakani, anaanza kuwashughulikia wale waliosaidia kumwingiza madarakani na walio mpigia kura.
Sasa wewe endelea tu na kiherehere na kimuhemuhe cha kumpigia campaign na kumpigia kura lakini ujue ataanza na nyie.
1. Ataanza na wakurugenzi. Wakurugenzi wa Halmashauri usaidie chama usisaidie chama mtakwenda na maji tu. Cha msingi bora usimamie haki tu hata ukitumbuliwa utakuwa huna cha kujilaumu. Kuliko ujaribu kubeba chama halafu ukaishiwa kutumbuliwa.
2. Mkurugenzi wa NEC. Ndugu yangu kwa namna yoyote ujue huna kazi baada ya uchaguzi.
3. IGP na ma RPC, baada ya uchaguzi mjue hamna kazi.
4. Polepole na Bashiru baada ya uchaguzi hamna kazi.
Ongezea...