Uzoefu wako kwenye ushirikina ni upi?

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,753
699,384
  • Uliwahi kurogwa?
  • Uliwahi kuroga?
  • Una chale mwilini?
  • Ulisimuliwa tuu?
  • Ulishawahi kupewa masharti magumu yasiyotekelezeka?
  • Ulishawahi kudalaliwa?
  • Ulishawahi kutapeliwa?
  • Una hirizi?
  • Ulishawahi kunyweshwa kombe?
  • Ulishawahi kuzikiri uchi? Makaburini?
  • Ulishawahi kuvunja nazi njia panda?
Nknk

Uzoefu wako ni upi hasa...! FUNGUKAAA...!!! Dunia ya ushirikina ni pana sana... Na kama bado hujaishiriki basi kuna hiki chuo cha maisha hujafuzu! Sometimes ni muhimu kuroga japo kidogo tu ili uongeze cv yako...!
 
mganga-YETO3H.jpg
 
 
nilisimdikiza demu wangu kipindi fulani kwa mganga.

ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda.

tumefika kwa huyo mzee foleni ni kubwa watu ni wengi!demu wangu alikuwa kavaa suruali wamama wakamuwahi kumvalisha kanga huku wakilalamika!!
kwamba ukienda kwa BABU umevaa kihuni anaghadhibika hivyo watu wote siku hiyo hawatapewa tiba!hata ukienda umevaa KEPU ni shida.

kwa yule mzee haiingii mtu mmoja mmoja mnaingia hata 10 kwa mkupuo na kila mtu atasema shida zake hapo huku wengine mkisikia!!

ndani kuna vitu vya ajabu sana niliviona!
ukutani pamebandikwa picha za yesu huku pembeni AYA ZA QURANI na KAABA!
chini kumejaa vikaragosi na ngozi za wanyama ndio mnakalia!

kila mtu anaeleza shida yake kisha anaandikiwa kikaratasi cha dawa(prescription).

demu wangu yeye alikuwa amefata dawa ya biashara ili apate wateja!

mi nikaulizwa shida yangu nikawa najiuma uma!!nikajibu mi sina shida mzee....ALICHEKA SANA

akaniambia hamna binadamu hana shida duniani!akaniandikia maelekezo ya dawa nikatoka!pesa unaweka shulingi 200 kwenye kibuyu!yaani anasema yeye huwa hashiki pesa mkononi...

nikapewa madawa ya kuoga na kufkiza halafu ingine km mkaa najipaka muda nalala!!

acha kabisaaa usiku nilikuwa natokewa na vitu vya hatari na vya ajabu ajabu!nikasema hapana aseee!

nikatemana nazo hizo madawa!
ila sikuwa naamini mambo hayo lakini kwa mauza uza nilikuwa nayaona nikaanza kuamini labda huyu mzee anataka kuniletea shida sababu nilisema SINA..
 
  • Uliwahi kurogwa?
  • Uliwahi kuroga?
  • Una chale mwilini?
  • Ulisimuliwa tuu?
  • Ulishawahi kupewa masharti magumu yasiyotekelezeka?
  • Ulishawahi kudalaliwa?
  • Ulishawahi kutapeliwa?
  • Una hirizi?
  • Ulishawahi kunyweshwa kombe?
  • Ulishawahi kuzikiri uchi? Makaburini?
  • Ulishawahi kuvunja nazi njia panda?
Nknk

Uzoefu wako ni upi hasa...! FUNGUKAAA...!!! Dunia ya ushirikina ni pana sana... Na kama bado hujaishiriki basi kuna hiki chuo cha maisha hujafuzu! Sometimes ni muhimu kuroga japo kidogo tu ili uongeze cv yako...!
Miaka kadhaa nyuma nilikuwa nasumbuliwa na ishu fulani,katika kusikiliza kwangu redio,nikamsikia mdau mmoja anaelezea ishu inayo nisumbua. Redioni alijinasibu kama tabibu wa jadi. Nikasema ngoje nifunge safari nikatafute sababu,kwani kutotafuta sababu ni kuitia dosari imani.

Nikafika ile sehemu nikaingia ndani,sababu Uchawi naujua na ushirikina naujua vyema,nilivyo ona yale mazingira nikasea hapa hakuna tiba ninayo itaka mimi. Nikashika njia yangu. Nikaja kupata tiba kwa njia bora zaidi isiyo kuwa na makandokando.

Watu shirki wanaichukulia poa sana, ila hakuna dhambi kubwa kuzidi kushirki yaani USHIRIKINA.
 
nilisimdikiza demu wangu kipindi fulani kwa mganga.

ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda.

tumefika kwa huyo mzee foleni ni kubwa watu ni wengi!demu wangu alikuwa kavaa suruali wamama wakamuwahi kumvalisha kanga huku wakilalamika!!
kwamba ukienda kwa BABU umevaa kihuni anaghadhibika hivyo watu wote siku hiyo hawatapewa tiba!hata ukienda umevaa KEPU ni shida.

kwa yule mzee haiingii mtu mmoja mmoja mnaingia hata 10 kwa mkupuo na kila mtu atasema shida zake hapo huku wengine mkisikia!!

ndani kuna vitu vya ajabu sana niliviona!
ukutani pamebandikwa picha za yesu huku pembeni AYA ZA QURANI na KAABA!
chini kumejaa vikaragosi na ngozi za wanyama ndio mnakalia!

kila mtu anaeleza shida yake kisha anaandikiwa kikaratasi cha dawa(prescription).

demu wangu yeye alikuwa amefata dawa ya biashara ili apate wateja!

mi nikaulizwa shida yangu nikawa najiuma uma!!nikajibu mi sina shida mzee....ALICHEKA SANA

akaniambia hamna binadamu hana shida duniani!akaniandikia maelekezo ya dawa nikatoka!pesa unaweka shulingi 200 kwenye kibuyu!yaani anasema yeye huwa hashiki pesa mkononi...

nikapewa madawa ya kuoga na kufkiza halafu ingine km mkaa najipaka muda nalala!!

acha kabisaaa usiku nilikuwa natokewa na vitu vya hatari na vya ajabu ajabu!nikasema hapana aseee!

nikatemana nazo hizo madawa!
ila sikuwa naamini mambo hayo lakini kwa mauza uza nilikuwa nayaona nikaanza kuamini labda huyu mzee anataka kuniletea shida sababu nilisema SINA..
akaniambia hamna binadamu hana shida duniani!akaniandikia maelekezo ya dawa nikatoka!pesa unaweka shulingi 200 kwenye kibuyu!yaani anasema yeye huwa hashiki pesa mkononi...
 
Miaka kadhaa nyuma nilikuwa nasumbuliwa na ishu fulani,katika kusikiliza kwangu redio,nikamsikia mdau mmoja anaelezea ishu inayo nisumbua. Redioni alijinasibu kama tabibu wa jadi. Nikasema ngoje nifunge safari nikatafute sababu,kwani kutotafuta sababu ni kuitia dosari imani.

Nikafika ile sehemu nikaingia ndani,sababu Uchawi naujua na ushirikina naujua vyema,nilivyo ona yale mazingira nikasea hapa hakuna tiba ninayo itaka mimi. Nikashika njia yangu. Nikaja kupata tiba kwa njia bora zaidi isiyo kuwa na makandokando.

Watu shirki wanaichukulia poa sana, ila hakuna dhambi kubwa kuzidi kushirki yaani USHIRIKINA.
Watu shirki wanaichukulia poa sana, ila hakuna dhambi kubwa kuzidi kushirki yaani USHIRIKINA.
 
  • Uliwahi kurogwa?
  • Uliwahi kuroga?
  • Una chale mwilini?
  • Ulisimuliwa tuu?
  • Ulishawahi kupewa masharti magumu yasiyotekelezeka?
  • Ulishawahi kudalaliwa?
  • Ulishawahi kutapeliwa?
  • Una hirizi?
  • Ulishawahi kunyweshwa kombe?
  • Ulishawahi kuzikiri uchi? Makaburini?
  • Ulishawahi kuvunja nazi njia panda?
Nknk

Uzoefu wako ni upi hasa...! FUNGUKAAA...!!! Dunia ya ushirikina ni pana sana... Na kama bado hujaishiriki basi kuna hiki chuo cha maisha hujafuzu! Sometimes
 
Mimi nimeisha sahau hata nilikuwa na shida gani zama zile.....

Lakini sangoma yule sitamsahau mashart yake aliyonipa eti.... usiku wa manane niende msikitini kule kwa mbele anapokaa kiongozi wao katikati kwa nje nikachimbe shimo nusu ya mwili wangu nifukie dawa. , SHUBAMITI KABISA SANGOMA YULE.

AU kama nitashindwa hapo usiku huo huo niende makaburini nitafute kaburi la kiume upande wa kichwani nichimbe shimo usawa uleule nusu ya mwili wangu nifukie dawa tena usiku wa manane.... jamani sitasahu. Sikuweza na nilikoma mpaka leo sijawah kwenda popote tena naogopa.....

Hatar sana.
 
Mimi nimeisha sahau hata nilikuwa na shida gani zama zile.....

Lakini sangoma yule sitamsahau mashart yake aliyonipa eti.... usiku wa manane niende msikitini kule kwa mbele anapokaa kiongozi wao katikati kwa nje nikachimbe shimo nusu ya mwili wangu nifukie dawa. , SHUBAMITI KABISA SANGOMA YULE.

AU kama nitashindwa hapo usiku huo huo niende makaburini nitafute kaburi la kiume upande wa kichwani nichimbe shimo usawa uleule nusu ya mwili wangu nifukie dawa tena usiku wa manane.... jamani sitasahu. Sikuweza na nilikoma mpaka leo sijawah kwenda popote tena naogopa.....

Hatar sana.
Hayo ni masharti ili ushindwe halafu akwambie atafanya yeye dau lipande
 
Back
Top Bottom