CCM wameshchanganykiwa ndo maana hata hawaeleweki hata tarehe ya uznduz wao. Wameshapoteza dira ktambo sana.
Ninkweli mkuu...Startv itarusha kuanzia saa tisa mpaka saa kumi na mbili...na kuna radio station hapa arusha nazo zitarusha ikiwemo MJ FM....na JF hatuko nyuma mtapata kila kitunilisikia kuna media zitakua zikionyesha live tukio zima ikiwemo star tv ni yakweli hayo wakuu?
Naamini utakuwepo mkuu...pamoja sana mzee, ujumbe wa TULIANZA NA MUNGU, TUTAMALIZA NA MUNGU nimeupenda,
CCM wao wanasema TULIANZA NA RUSHWA, TUTAMALIZA NA RUSHWA.
Ni mambo ya kujipanga tu....Siyo Arumeru safari hii tumewashika jiulize mlikuwa mzindue jana mkashindwa mkasema mtanzidua leo mkashindwa sasa nasikia mnazindua jumatatu...mnalo safari hii
View attachment 48974
Siku ya kurudisha form ilivyokuwa....
Ni mambo ya kujipanga tu....
Arumeru hatuhitaji kutumia nguvu kubwa cuz tunakubalika!
Vipi, mmeshasolve matatizo ya kifedha yanayowakumba?
2lianza na mungu 2tamaliza na mungu..amen.crashwise nakuja huko saa 8 mchana
Kume inasemekana???vipi mbona mnasita sita kuzindua kampeni?
Ilikuwa jana mkasema leo, leo tena imekua jumatatu..
Halafu inasemekana SIOI sio mtanzania hili mmeshali solve?
Vipi Kamanda John Shibuda, nae kaishawasili?
Makamanda wengi wameshawasili.
Zitto, Mbowe, Msigwa, Natse, Nyerere, Lema, Grace kiwelu, Suzan, Joyce, Esther, na wengine wapo njiani....