Uzi wa vyakula tu

Nimeenda kuzoom

Hapo sasa embe limekamilima.

Mate yamenijaa.


Aahahahaha msimu umeanza.
Unaenda sokoni unaunua pakti ya pilipili unga nunua maembe yako hayo ya kula na pilipili hata 10rudi nayo nyumbani unakula moja moja na pilipili huku unachanganya na chumvi uwiano unaotaka.

Kabla hayajaisha au yakibaki 2 unaenda tena sokoni kununua mengine 10.

Raha jipe mwenyeweee 😋😋.
 
Aahahahaha msimu umeanza.
Unaenda sokoni unaunua pakti ya pilipili unga nunua maembe yako hayo ya kula na pilipili hata 10rudi nayo nyumbani unakula moja moja na pilipili huku unachanganya na chumvi uwiano unaotaka.

Kabla hayajaisha au yakibaki 2 unaenda tena sokoni kununua mengine 10.

Raha jipe mwenyeweee 😋😋.
Huku vijijini tunachumia tu maembe kwenye miti
 
Anayejua namna ya kuandaa veggie nyumban.
makolokolo ya kuweka
Nikila kama kule cape town fish market nashindwa kuhamishia ladha kwangu
 
1699708068907.png
 
maembe ya kienyeji jau, nyuzi zinabaki kwenye meno

Hizo nyuzi zikiingia kwenye mfumo wa chakula ni dawa...

Wenye lugha yao wanasema fibre, helps on digesting the food smoothly.

Na wataalam zaidi wanashauri, kula mmea halisi uutafune kwa meno na sio kuusaga na mashine (blender).

Nasubiri madodo yachanganye nikule mdondo, embe love sukari hadi kokwa.

Kujua nanasi la kienyeji sasahivi ni mtihani....🤔🤔🤔

Wachuuzi wabaya sana, waangalia pesa inayoingia mifukoni mwao na si afya ya mlaji....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom