Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,055
Chai na kiporo
Una makusudi
Makusudi gani sasa?Una makusudi
Akatoke ne ngenge..mayo kuchumba
Hapa njaa imepamba moto,na wewe unapost mambo shata shataMakusudi gani sasa?
Si uagize chakula ule sasaHapa njaa imepamba moto,na wewe unapost mambo shata shata
Ndo niliingia humu kutafuta hamu.Si uagize chakula ule sasa
Huna njaa ww?Ndo niliingia humu kutafuta hamu.
Njaa ninayo ila hamu ya kula sina.Huna njaa ww?
Labda mimbaNjaa ninayo ila hamu ya kula sina.
Hapana sijafanya siku nyingi sana.Labda mimba
DuhHapana sijafanya siku nyingi sana.
Bukoba
Dozi gani hiyo mkuu nipe na mm huo ujuziNdiyo ila kuna picha ya supu ya pweza iliwekwa na ilinikumbusha mbali sana, baada ya kucomment ndipo Dokta wetu mpendwa asiye na posho (mshana jr) alinipa dozi ya kienyeji ambayo kwangu imekuwa na side effect mbaya sana. Leo ni siku ya nne bado nimedinda tu na kutoka nje naona haibu, nataka dawa mbadala ya kushusha dushe lilerejee katika hali ya kawaida.