fadinyo
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 238
- 261
Picha zote ni Smartphone kaka sema nashindwa kukuthibitishia kuwa ni sm kama una njia ya kufanya hilo nambie nikutumie
Hizi picha mbili siamini kama zimepigwa na Smart Phone, hapa umetudanganya, Mkuu..
Ni very powerful len yenye uwezo wa KU zoom na kupiga picha kama hizi, Smart Phone haiwezi..