Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 2,838
- 4,610
Ukileta picha yake nitag mkuuAlovera Poli ni dawa ya kurudisha kumbukumbuku Kwa mtu anayesahau mara Kwa mara lenyewe ni kubwa ivi afu ukilitafuna ni litamu si chungu kama haya ya kupandwa nikirudi kijijini nitapiga picha matumizi yake unalitafuna lenyewe likiwa bichi kipande kidogo
Mbili dawa ya kutibu mkanda jeshi au Kwa jina jingine unaitwa moto wa Mungu haya hadi niwe napicha pia manaa jina sjajui ila nikiyaona nayafahamu ni majani ambayo Huwa yanapenda kuota katikati ya mti au vichaka Yana vimajani vyembamba unachukua unatwanga unpaka sehemu ambayo imeathirika