ghetopuzzle
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 440
- 504
Natafuta chumba self dodoma mjini bei isizid 80
Na huku tena Mpo,nyie ndio mnasababisha maisha mjini yapande kwa tamaa zenuHao ni Madalali wa kwenu Vichochoroni.
Huku kwetu Hatufanyi hivyo.
Au kama vipi tafuta mwenyewe unachotaka.
Nitakuona mkuu,,,, nipo MoroKama unahitaji nyumba ya kupanga bia usumbufu na kwa gharama nafuu mkoani Morogoro
Wasiliana nasi:
Munyu Real Estate Agency
Jengo la Pamba
Ofisi namba 16
Morogoro,Tanzania.
Facebook:Munyu Real Estate Agency
Instagram:Munyurealestateagency
Karibuni sana
Nahitaji nyumba vyumba viwili kimoja master sebule jiko maeneo ya kinondoni nyumba isiwe mbali na barabara iwe na maji miezi sitaKwa wale wote wenye nyumba za kupangisha tafadhali tuweke taarifa zetu hapa.
Na wale wanaotafuta nyumba za kupanga tuweke taarifa za nyumba tunazotaka hapa.
Maana madalali ni stressful.
Karibuni
Kaanzisheni uzi wenu wa madalali muwapate watu huko...nafasi yangu mimi kama dalali iko palepale, kwa wapangishaji na wapangaji mi ni kiungo muhimu kwenu, kwa mpangaji, mimi ndie wa kukupa taarifa muhimu kuhusu mwenye nyumba na nyumba unayotaka kupanga
kwa wahitaji wa kigamboni na maeneo jirani Piga 07182 95 182
Bango
Na huku tena Mpo,nyie ndio mnasababisha maisha mjini yapande kwa tamaa zenu
Uzi unajieleza "mwenye nyumba ya kupangisha weka taarifa zako hapa" so wahitaji watanipata kwenye uzi huuhuu!!Kaanzisheni uzi wenu wa madalali muwapate watu huko...
njoo pmNa mimi natafuta nyumba kama hii.
njoo pmNatafuta nyumba, popote zinapopita mwendokasi, room mbili za kulala choo, jiko na luku viwe vyangu na malipo miez 6... nawasilisha
Masters ??!Nyumba nzuri boko. DAR vyumba 4 vyote masters kuuzwa au kupangishwa cal +255713633337