Uzembe wa kufikili wa wawakilishi wetu hasa ccm

nzom

Senior Member
Nov 6, 2010
180
31
Huanza kwa kusema naunga mkono asilimia mia kwa mia,hua ndo kauli yao ya kwanza lakini kudhihirisha uwezo wao mdogo hasa huyu wa jioni lucy mahenge,eti anaunga mkono kabla hata ya kuongea halafu anaanza kutoa mapungufu acheni kua waoga jifunze kujiamini na zaidi ya yote muwe na uwezo wa kuacha uwoga kwani tunaona sasa naomba baada ya kuchangia muwe mwasema aslimia mlizobakiza big up mchungaji msigwa
 
Back
Top Bottom