Huanza kwa kusema naunga mkono asilimia mia kwa mia,hua ndo kauli yao ya kwanza lakini kudhihirisha uwezo wao mdogo hasa huyu wa jioni lucy mahenge,eti anaunga mkono kabla hata ya kuongea halafu anaanza kutoa mapungufu acheni kua waoga jifunze kujiamini na zaidi ya yote muwe na uwezo wa kuacha uwoga kwani tunaona sasa naomba baada ya kuchangia muwe mwasema aslimia mlizobakiza big up mchungaji msigwa