Uzembe kwa Wabunge wa CHADEMA 2010-2015

Jeykey umezungumza vizuri sana!Nakumbuka ishu zote za kuikosoa serikali wapinzani ndio walikuwa mstari wa mbele. Siku hizi hamna kitu kabisa. Imagine kama ishu ya Jana ya Katibu mkuu wa wizara ya Nishati na Madini. Nilikuwa sitegemeii iibuliwe bungeni na mbuge wa CCM! Hii inaonyesha kuwa wabunge wa CCM wamekuwa makini kufuatilia utendaji wa serikali.Wapinzani bado wamelala.
Spika amekuwa akiwazibia sana: Utasikia eti "leo wachangiaji ni wengi sana, kwa hiyo si wote watakaochangia, pia waliochangia tayari wasijirudie!" Anyway, wabunge wa CDM wamewafanya Magamba kuwa makini zaidi hasa pale Bunge linapoambiwa "tutawashtaki kwa wananchi!" Kwa hiyo Magamba wamekuwa wakicheza kulingana na tune za CDM bila kujijua!
 
Nadhani mbunge anakwenda pale bungeni tayari anakuwa ameshaanda mambo yake na si kubahatisha,lazima ajue kesho nini kitaongelwa,na hapo ndipo anapojipanga kwa hoja .wakati mwingine wabunge wanajipanga hata kwa hoja za wizara zote kwa kipindi chote cha bunge.hivyo nadhani kila mbunge ana jinsi yake ya kutoa ,kutetea,kujibu ,kuibua hoja kulingana na yanayojiri.kuwa na supporting document ni muhimu sana kama hupewi muda katika kutetea hoja inayopita
 
Nimekuwa nikifatilia bunge kwa muda mrefu sasa lakini
nasikitika na kuumia baada ya wabunge wa CHADEMA kuwa wazembe na sio wadadisi na wazembe wakutafuta mambo
Je hiki ni kizazi cha digital? wakati mwingine namkubali Slaa muda wote bungeni anabeba mkabulasha ya ushahidi lakin sasa
hivi zitto na mbowe wanaenda kwa mtindo wa IPAD

Je kweli hawa ndo wabunge wetu? mbona wamekuwa wazembe kudadisi mambo?
Enzi za slaa ukiangalia Meza yake wakati yuko bungeni imejaa documnet za kufa mtu
sasa hivi ukiangalia meza za hawa jamaa kuna simu na notebook tu basi

Ebu kua mtu mzima; kwa jinsi ulivyo kilaza hutajaliwa kuwaelewa wabunge wa CDM kwa sababu hawafanyi kazi binafsi bali wanafanya kichama
 
wabunge wa cdm bado ni wadadisi kama awali kilichobadilika ni staili ya uchukuzi wa vithibitisho kwa baadhi yao.swala ni kutetea maslahi ya watanzania na kuwasilisha kero zao.pamoja tunajenga taifa.
 
Kitakachoiokoa Nchi hii ni watumishi wa UMMA wa kada ya chini kabisa. Wanayajua, wanayaona na kuyafahamu madudu yanayofanywa na wakubwa wao mengi tu.
 
Kichwa maji wewe,ushahidi hauitaji kujaza meza vitabu wala kuwa karatasi moja,je hoja yako ni ya kweli na unaitetea vipi na kuithibitisha basi.nenda kale.
 
Nimekuwa nikifatilia bunge kwa muda mrefu sasa lakini nasikitika na kuumia baada ya wabunge wa CHADEMA kuwa wazembe na sio wadadisi na wazembe wakutafuta mamboJe hiki ni kizazi cha digital? wakati mwingine namkubali Slaa muda wote bungeni anabeba mkabulasha ya ushahidi lakin sasahivi zitto na mbowe wanaenda kwa mtindo wa IPADJe kweli hawa ndo wabunge wetu? mbona wamekuwa wazembe kudadisi mambo?Enzi za slaa ukiangalia Meza yake wakati yuko bungeni imejaa documnet za kufa mtu sasa hivi ukiangalia meza za hawa jamaa kuna simu na notebook tu basi
c o uzembe ni tekinolojia mkubwa
 
Wengi wetu nadhani tumefunga mawazo!

Kama mtu ni mtembeleaji wa mitandao ya kiteknolojia (TechCrunch + Engadget) ya nje ya nchi na kwa sehemu fulani ya kiafrika pia, hutokosa kujua kwamba kuna kitu kimeuteka umma sasa hivi kikifahamika kama 'iPad'. Najua ningepaswa kuzungumzia 'Tablet devices' hapa ila acha kwanza niisemee hiyo 'iPad'.

Sio kama hao kina Zitto na Wenziwe kadhaa hawana ya kusema ila nimewakubali kwa jinsi walivyokuwa 'super-nerdy' wakati kazi zao zikiendea vile vile. Tazama baraza la 'Congress' huko marekani ama hata mabunge mengi na vikao vya wenzetu na wasio wenzetu utaona matumizi ya kidigitali yamekua kwa kasi kubwa sana!.

Hicho alichokianzisha Zitto na wenzake kama kila mwananchi anayemudu akifanya hivyo na maofisi yetu yakakubali mfumo wa kiteknolojia kama njia sahihi ya kutunza na kuhifadhi kumbukumbu, mahitaji ya miti kwa ajili ya karatasi yatapungua kwa asilimia kadha wa kadha na mvua kwetu zitakua si adimu tena hivyo umeme wa kuzichaji aah, hautokosekana! Nasema wakikubali maana sasa hivi hata mimi mwenyewe huwa natuma ripoti zangu za kazi kwa mfumo wa barua pepe kwa washirika wetu wa nje na inakuwa inatosha wakati nikirudi kwa matakwa ya kampuni mama hapa ni lazima tuweke bonge la mkabrasha lenye hiyohiyo ripoti kwenye kabati ili iwe 'filed' japo sijui hiyo 'filing' ina umuhimu gani kwa miaka hii ambayo every little piece of our environment we can save counts! Ugh!
digital-transformation-ecosystem.png

NB: Aisee, hao jamaa mimi sio muangalia bunge wala mtu wa siasa ila kama wanafanya hivyo nimewakubali! Soma zaidi hapa
 
Jeykey umezungumza vizuri sana!Nakumbuka ishu zote za kuikosoa serikali wapinzani ndio walikuwa mstari wa mbele. Siku hizi hamna kitu kabisa. Imagine kama ishu ya Jana ya Katibu mkuu wa wizara ya Nishati na Madini. Nilikuwa sitegemeii iibuliwe bungeni na mbuge wa CCM! Hii inaonyesha kuwa wabunge wa CCM wamekuwa makini kufuatilia utendaji wa serikali.Wapinzani bado wamelala.
Si kweli kbisa unenayo mkuu,unafikiri Cdm ni malaika? ati lolote litakaloibuliwa lazma wawe ni wao? vyanzo vya kutafuta habari sometimez vinategemeana mkuu so usiwahukumu directly hawa wakuu wetu
 
Nimekuwa nikifatilia bunge kwa muda mrefu sasa lakini
nasikitika na kuumia baada ya wabunge wa CHADEMA kuwa wazembe na sio wadadisi na wazembe wakutafuta mambo
Je hiki ni kizazi cha digital? wakati mwingine namkubali Slaa muda wote bungeni anabeba mkabulasha ya ushahidi lakin sasa
hivi zitto na mbowe wanaenda kwa mtindo wa IPAD

Je kweli hawa ndo wabunge wetu? mbona wamekuwa wazembe kudadisi mambo?
Enzi za slaa ukiangalia Meza yake wakati yuko bungeni imejaa documnet za kufa mtu
sasa hivi ukiangalia meza za hawa jamaa kuna simu na notebook tu basi
kichwa kinauma nashindwa soma panadol pls
 
Nimekuwa nikifatilia bunge kwa muda mrefu sasa lakini
nasikitika na kuumia baada ya wabunge wa CHADEMA kuwa wazembe na sio wadadisi na wazembe wakutafuta mambo
Je hiki ni kizazi cha digital? wakati mwingine namkubali Slaa muda wote bungeni anabeba mkabulasha ya ushahidi lakin sasa
hivi zitto na mbowe wanaenda kwa mtindo wa IPAD

Je kweli hawa ndo wabunge wetu? mbona wamekuwa wazembe kudadisi mambo?
Enzi za slaa ukiangalia Meza yake wakati yuko bungeni imejaa documnet za kufa mtu
sasa hivi ukiangalia meza za hawa jamaa kuna simu na notebook tu basi

ESI - Elecronically Stored Information, a powerful framework for conducting e-discovery. Wewe Jeykey hebu acha kuturudisha nyuma sisi.
 
Nimekuwa nikifatilia bunge kwa muda mrefu sasa lakini
nasikitika na kuumia baada ya wabunge wa CHADEMA kuwa wazembe na sio wadadisi na wazembe wakutafuta mambo
Je hiki ni kizazi cha digital? wakati mwingine namkubali Slaa muda wote bungeni anabeba mkabulasha ya ushahidi lakin sasa
hivi zitto na mbowe wanaenda kwa mtindo wa IPAD

Je kweli hawa ndo wabunge wetu? mbona wamekuwa wazembe kudadisi mambo?
Enzi za slaa ukiangalia Meza yake wakati yuko bungeni imejaa documnet za kufa mtu
sasa hivi ukiangalia meza za hawa jamaa kuna simu na notebook tu basi
umeishia darasa la ngapi?
 
Kwa hiyo tatizo lako ni media gani inatumika katika kubeba information? Kwani IPAD au simu hazibebi information inayobebwa na print media? Labda kama kasimu kako hakana functionalities za kutosha kubeba information lukuki. Pia notebook ni muhimu kwa ku-jot down points, bila notebook huko ni sawa na kwenda kwenye wedding reception au ku-watch Isidingo!!
 
Back
Top Bottom