Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,471
- 27,147
Mkuu Asikwambie Mtu! Njia Salama Ni Kujiunga Na CHAPUTA tu....! Kama Unabisha Waulize Member Wake Watakujuza.
Kweli we pimbi hiyo wanafanya wanyama nje na mnyama binadam, sujui unaona inawekazana kweli wewe una matatizoUnadoo siku ya kupata mtoto basi, huhitaji mambo ya mpango sijui nini....we kazana tu unapotaka kid kwishaaaa siku zingine zoote kaa kama bachela.Kwani sex si iliweka ili kuzaa..
Dhambi acha uchuroWithdrawal
We unaweza kula pipi na ganda lake?Condoms
Amevimbiwa yuleKweli we pimbi hiyo wanafanya wanyama nje na mnyama binadam, sujui unaona inawekazana kweli wewe una matatizo
Njia salama,ni kumwaga mbegu za kiume nje ya uke.Wakuu habari thogh mimi ni mwanamume lakini nimeona niulize hili swali ni njia ipi ni salama isiokuwa na madhara mengi iko average to any person(mwanamke)anawezakuitumia katika uzazi wa mpango?
Wala msitake kudanganya Kua mkimwaga nje basi mko salama,labda kama ukishamwaga mwanaume uende ukakojoe otherwise ukiingia hapo hapo uwezekano wa kumpa mimba mwanamke uko pale paleNjia salama,ni kumwaga mbegu za kiume nje ya uke.
Halafu unaanzaje kumwaga utamu nje..hata Muumba hapendi..Wala msitake kudanganya Kua mkimwaga nje basi mko salama,labda kama ukishamwaga mwanaume uende ukakojoe otherwise ukiingia hapo hapo uwezekano wa kumpa mimba mwanamke uko pale pale
Nmemshirikisha....Umemshirikisha mwenzi wako?
Baadhi ya Imani zinakataza njia za kisasa na kushauri njia za asili kama vile.
Calendar method
Billing ovulation method
Basal body temperature
Coitus interrupt.
Enendeni Ulimwenguni mkaongezeke na kuijaza dunia
Mkuu pambana nazo hizo hizo mbili hadi uizoe moja wapo kwa hizo njia nyingine sikushauri hata kidogo kwa kweli, Unaweza tumia hizo njia nyingine baada ya muda ukarudi hapa tena kuomba msaada wa kitu kingine kabisa. Kazi kwako mzee.Wakuu, naombeni ushauri, nahtaji kupanga uzazi, kutumia njia za uzazi wa mpango, njia ipi ni sahihi kutumia.....
Declaration of interest; Calender method, withdrwa method zilishanishnda,
Naomba ushauli kwa njia zngne za uzazi wa mpango. Asanteni.
Asante, vip hakuna vya mwaka mmoja?tumia vijiti mamaaa, kuna vya miaka mitatu na kuna vya mitano , ni wewe tu, hasa kama una mwili wa wastani, si mnene
IUD ni nzuri zaidi. (Loop)Wakuu, naombeni ushauri, nahtaji kupanga uzazi, kutumia njia za uzazi wa mpango, njia ipi ni sahihi kutumia.....
Declaration of interest; Calender method, withdrwa method zilishanishnda,
Naomba ushauli kwa njia zngne za uzazi wa mpango. Asanteni.