Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Mashabiki wengi wa mchezo wa mpira wa miguu katika Tanznzania na Kenya
hushabikia zaidi timu za ulaya kuliko timu za nchi zao.
Uzalendo uko wapi?
Tuzishabikie timu zetu ili kuzipatia hamasa.
hushabikia zaidi timu za ulaya kuliko timu za nchi zao.
Uzalendo uko wapi?
Tuzishabikie timu zetu ili kuzipatia hamasa.