Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 799
- 510
UWT YAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA UZINDUZI WA WA MKAKATI WA TAIFA WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA 2024-2034
🗓️ 8 Mei 2024
📍JNICC-Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) amemshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Kwa uzinduzi wa Mkakati wa Taifa wa matumizi ya Nishati safi ya kupikia 2024-2034.
Mwenyekiti Chatanda amesema kuwa UWT itakwenda kuwaelimisha wanawake na jamii Kwa ujumla nchini kuondokana na kutumia kuni na mkaa ili kupunguza maradhi na vifo na kusisitiza matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia.
Hafla ya uzinduzi wa mkakati wa Taifa wa matumizi ya Nishati safi ya kupikia 2024-2034 imefanyika katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam, Mei 08, 2024.
🗓️ 8 Mei 2024
📍JNICC-Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) amemshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Kwa uzinduzi wa Mkakati wa Taifa wa matumizi ya Nishati safi ya kupikia 2024-2034.
Mwenyekiti Chatanda amesema kuwa UWT itakwenda kuwaelimisha wanawake na jamii Kwa ujumla nchini kuondokana na kutumia kuni na mkaa ili kupunguza maradhi na vifo na kusisitiza matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia.
Hafla ya uzinduzi wa mkakati wa Taifa wa matumizi ya Nishati safi ya kupikia 2024-2034 imefanyika katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam, Mei 08, 2024.