Naona umeshakalia ndizi nyama
Halaf kuna mdada kule nyuma kushoto ni mjamzito halaf kajificha aspigwe na camera flash, sjui kadanganywa flash inaharibu mimba?
Don't chicken out.
Kwa nini havai kufuli?
Na haiwekwi sasa....hahahaTunaomba mods waweke option ya kuzoom.