Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,725
- 29,087
Mzuka wawanajamvi?
Hili jina mwamba linatumika kama sifa, status kumsifia mtu.
Hata kwa wapiga mizinga wanapenda sana kutumia wakikusogeza na kukuandaa kwa kukuita mwamba, mheshimiwa, boss kabla ya kulipuka.
Lakini kwa nini halitumiki kwa wanawake japo kuna wanawake majasiri nao tungewaita mwamba kama Lady Jay dee, Posh queen, Fatima Shangazi, Salama, Wolper, Irene Uwoya, Mange.t.c.
Licha ya yote hayo kuna mwamba mmoja tu nchini hakuna mwengine bali ni FAM.
Hili jina mwamba linatumika kama sifa, status kumsifia mtu.
Hata kwa wapiga mizinga wanapenda sana kutumia wakikusogeza na kukuandaa kwa kukuita mwamba, mheshimiwa, boss kabla ya kulipuka.
Lakini kwa nini halitumiki kwa wanawake japo kuna wanawake majasiri nao tungewaita mwamba kama Lady Jay dee, Posh queen, Fatima Shangazi, Salama, Wolper, Irene Uwoya, Mange.t.c.
Licha ya yote hayo kuna mwamba mmoja tu nchini hakuna mwengine bali ni FAM.