Kwanini wanawake hawaitwi mwamba?

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
13,725
29,087
Mzuka wawanajamvi?

Hili jina mwamba linatumika kama sifa, status kumsifia mtu.

Hata kwa wapiga mizinga wanapenda sana kutumia wakikusogeza na kukuandaa kwa kukuita mwamba, mheshimiwa, boss kabla ya kulipuka.

Lakini kwa nini halitumiki kwa wanawake japo kuna wanawake majasiri nao tungewaita mwamba kama Lady Jay dee, Posh queen, Fatima Shangazi, Salama, Wolper, Irene Uwoya, Mange.t.c.

Licha ya yote hayo kuna mwamba mmoja tu nchini hakuna mwengine bali ni FAM.

JamiiForums1267461471_387x387.jpeg
 
Mwanamke ni sehemu ndogo tu ya ubavu wa Mwanaume, Tunawezaje kumuita mwamba. 🤔?
 
Back
Top Bottom